Kwa wale ambao wanaplan ya kusoma Masters na PhD pale Mlimani ( University of Dar es salaam) kwa mwaka huu 2018 tayari wameanza kupokea maombi. deadline tar 30/05/2018.
Asante sana Kaka Mungu akubariki sana aseee... Ikiwezekana na vyuo vyingine uwe unatupa humu... Maana mwaka huu nimepanga nipige Masters..Kwa wale ambao wanaplan ya kusoma Masters na PhD pale Mlimani ( University of Dar es salaam) kwa mwaka huu 2018 tayari wameanza kupokea maombi. deadline tar 30/05/2018.
Kwa wale ambao wanaplan ya kusoma Masters na PhD pale Mlimani ( University of Dar es salaam) kwa mwaka huu 2018 tayari wameanza kupokea maombi. deadline tar 30/05/2018.
Kozi za medicine vipi? sioni!
Mkuu nmeona hapo course zingine zinatolewa kwa module.... Je huwa module moja inachukua duration gani???Kwa wale ambao wanaplan ya kusoma Masters na PhD pale Mlimani ( University of Dar es salaam) kwa mwaka huu 2018 tayari wameanza kupokea maombi. deadline tar 30/05/2018.
Sure!Jamani Master's GPA ya chini ngapi?
Yes mkuu..Sure!
Unasomesha mkeo level ya Master,wewe f4Yes mkuu..
Mkewangu nahitaji kumuendeleza ni mwl anadigrii mimi ni form four to.. Sema navibiashara vyangu binafsi sijui mambo ya vyuo na yy anagpa ya 2.8alivyoniambia.
Naomba maoni msaada wako

Kwan ni dhambi mkuu.. Hayo ni malengo ya familia yangu tunampango wakufungua English medium yy atakuwa msimamizi, wakati mimi nikiendelea Name business nyingne.Unasomesha mkeo level ya Master,wewe f4![]()
![]()
![]()
3.5Jamani Master's GPA ya chini ngapi?
Sure!
Asante
Ud GPA ngp jmn kwa master