iv huu ndo utaratibu gani kila chuo mwaka huu kina application fee yake kwa wale wanaoomba bachelor degree,CUHAS[bugando] application fee Tsh 30000,kcmuco[kcmc] application fee Tsh 50000,MUHAS application fee Tsh 10000,UDSM Tsh 10000,mwaka jana kiongozi mkubwa wa serikali atoa maagizo appliction fee isizidi Tsh 10000,cha ajabu zaidi naona mwaka huu kila mmoja anakuja na style yake,IV HAWA TCU WAKO WAPI?KWA HIYO AWAYAONI HAYA?iv inawezekanaje ulipie sh 50000 kwa ajili ya chuo kimoja tu na kutokana na competition lazima wanafunzi wataomba zaidi ya chuo kimoja,kama kunawahusika humu ebu liangalieni hili,kuna miaka fulani mtu akilipia Tsh 50000 anauwezo wakuomba vyuo vitano sa hii leo kila chuo kinakuja kitakavyo,