Jamani hivi ni sababu zipi zinazopelekea nacte kuongeza application deadline kila siku mfano katika education, inamaanisha watu waliofanya application ni wachache kwahiyo hawatoshi vyuoni au inakuaje hapo.
Ni kero sana alafu wameongeza hadi 19 September cha ajabu hakuna option ya kureset choices. Mi kuna mtu kaniomba nimbadilishie choices imenigomea kabisa
Ni kero sana alafu wameongeza hadi 19 September cha ajabu hakuna option ya kureset choices. Mi kuna mtu kaniomba nimbadilishie choices imenigomea kabisa