Application 4th Round ni majanga. TCU wanazingua!

demigod

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
8,250
15,116
Nimekuwa nikifanya application awamu ya pili na ya tatu. Awamu hizo zote nilikosa kupata chuo. Leo tar 24 limefunguliwa dirisha kwa awamu mpya ya nne ya kuchagua tena vyuo .

Ila cha kushangaza hakuna option inayoniwezesha kudelete machagua ya vyuo vya awamu ya 3 ambayo nilikosa, ili niweze kufanya machaguo mapya ya vyuo awamu ya 4.

Kwa wale vijana wenye kuwa na la kunishauri naombeni msaada hapo.


Hii ni screenshot ambayo ilitokana baada ya kukamilisha application ya awamu ya 3.

Wakuu shikamooni kwa ujumla wenu mdogo na mkubwa!

Tupo mtu kama 12 hv hapa cafe tunafanya application ya vyuo kupitia TCU.

Tumelipia kila kitu kiroho safi kabisa. Lakini kuna shida sehemu. SYSTEM HAIKUBALI ILE OPTION YA KU ADD VYETI VYA O NA A LEVEL KWA WALE WALIOWAHI KURISITI MITIHANI. INASEMA ERROR 404.

Deadline kesho kutwa tarehe 26. TUMEWAPIGA SIMU WEEEEEEEEEE LAKINI SIMU HAIPOKELEWI AMA UNAKUTA IPO BUSY.

Kwa yeyote mwenye jamaa yake pale tcu tunaomba atusaidie atuwasilishie hili tatizo mezani kwao.

Tunatanguliza shukrani zetu kwenu.
 

Attachments

  • jf.PNG
    jf.PNG
    11.1 KB · Views: 45
Pole sana, cha msingi endelea kusubiri, Mimi nliapyly 1, 2 ila 3 nmepata na wakat huo wote walikuwa wanatoa fursa ya kuaply upya but hawakuw wanaruhusu kubadili vyuo....so jaribu kuwa na Subira huenda ukapat katka round hii ya 4
 
hivi shida in network au ssytm iko hivo in forth round maana hakuna coz wala chuo chochote unaona ingawaje wanakwambia go for forth round!!
 
Nimekuwa nikifanya application awamu ya pili na ya tatu. Awamu hizo zote nilikosa kupata chuo. Leo tar 24 limefunguliwa dirisha kwa awamu mpya ya nne ya kuchagua tena vyuo .

Ila cha kushangaza hakuna option inayoniwezesha kudelete machagua ya vyuo vya awamu ya 3 ambayo nilikosa, ili niweze kufanya machaguo mapya ya vyuo awamu ya 4.

Kwa wale vijana wenye kuwa na la kunishauri naombeni msaada hapo.


Hii ni screenshot ambayo ilitokana baada ya kukamilisha application ya awamu ya 3.
Lakini 4th round ni kwa applicant wanaopitia TCU tu cyo NACTE au mm ndyo cjaelewa hiyo scrnsht yako
 
Kwa sisi tulioomba OPEN na MWALIMU NYERERE hata matokeo ya third round hayajatoka.

Ila mimi pia profile yangu inasema hivyo, WAIT FOR NEXT SELECTION. Hainipi option ya kuchagua upya wala kuona tu jinsi nilivyoapply chuo. Tokea 2nd round ni apply
 
Mm coz nilizo omba wameniambia sijameet minimum entry requirements sasa nashindwa cha kufanya kwan sifa zinanitosha kwa coz nilizozichagua
 
Wakuu shikamooni kwa ujumla wenu mdogo na mkubwa!

Tupo mtu kama 12 hv hapa cafe tunafanya application ya vyuo kupitia TCU.

Tumelipia kila kitu kiroho safi kabisa. Lakini kuna shida sehemu. SYSTEM HAIKUBALI ILE OPTION YA KU ADD VYETI VYA O NA A LEVEL KWA WALE WALIOWAHI KURISITI MITIHANI. INASEMA ERROR 404.

Deadline kesho kutwa tarehe 26. TUMEWAPIGA SIMU WEEEEEEEEEE LAKINI SIMU HAIPOKELEWI AMA UNAKUTA IPO BUSY.

Kwa yeyote mwenye jamaa yake pale tcu tunaomba atusaidie atuwasilishie hili tatizo mezani kwao.

Tunatanguliza shukrani zetu kwenu.
 
Awamu hii itawahusu:
• Waombaji ambao bado wako ndani ya mfumo ambao hawajachaguliwa;
• Waombaji wapya ambao hawakuwahi kuomba awali; na
• Waombaji walio na sifa linganifu ambao hawakukamilisha taratibu za uombaji hapo awali
 
Jaribu kuresend Mara nyingi coz mtandao wao huwa unazngua kweny kuapload. 7bu ya kubwa ni kuwa busy, watu wengi wanakuwa kweny mfumo so wakati mwingine huwa inalemewa
 
Mi nilisoma Open na hatujapata result transcript je naweza kuapply hapo hapo open? Nataka nisome Open lakini wanasema transcript zipo NACTE, mwenye ulewa naomba jamani.
 
Mi nilisoma Open na hatujapata result transcript je naweza kuapply hapo hapo open? Nataka nisome Open lakini wanasema transcript zipo NACTE, mwenye ulewa naomba jamani.
Mhmh.... Mi nadhan chuo chenu ndo wamezingua coz kwa jinsi nnavyofaham matokeo yakishatoka chuo hupeleka matokeo nacte na pia chuo hutengeneza transcript na huwa hazipelekwi nacte ndio maana huwa hazina muhuru wa nacte au sahihi ya mtu kutoka nacte. Wanaohusika kuzkishapitisha na kudhibitisha ni sanate ya chuo na husainiwa na director after there wanafuzi hupewa ...so fuatilieni chuo mpate transcript
 
Back
Top Bottom