Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,284
- 2,593
Tunaelekea kwenye ulimwengu wa Ma game Duniani ?
Apple wametambulisha teknolojia mpya ya AR headset baada ya miaka mingi kupita. Apple imetambulisha kifaa kipya cha kuvaa machoni kinaitwa Apple Vision Pro kinakusaidia kutizama ulimwengu halisi pamoja na kidigitali.
Ni kifaa ambacho kinatumia mfumo wa 3D interface unaweza ku control kwa kutumia macho , sauti pamoja na mkono. Utaweza kutumia kuingia sehemu mbalimbali kama vile kuperuzi mitandaoni, utakutana na apps Mbalimbali Ikiwa na mfumo wake unaitwa VisionOs.
Unaweza kugusa , kusogeza,pia kutumia sauti yako kuingia mahali popote utaweza kuona program Zako zote.mfumo wake unatoa Muonekano mzuri kwenye Eneo lolote lile ili uweze kutizama kwa ubora na ufanisi.
Ni miwani ambayo yenye Rangi nyeusi Ikiwa na
• 4k display kwenye kila sensor
• ina sensor 5 Ikiwa pamoja na 12 kamera
• Ikiwa na frame ya kioo cheusi
• inatumia battery yenye masaa mawili
• Ikiwa na mfumo wa kompyuta ndani yake pamoja feni yenye kupooza mfumo mzima ndani.
Unaweza tumia pia kwenye kompyuta ya Mac Pamoja na ipad Ikiwa na magic keyboard ambayo utaunganisha tu ndani ya Headset yako na kuanza kutumia bila kuishika kompyuta au simu yako.
Kwa chini kuna kamera yenye kutizama mikono yako na kukusaidia kuweza kufanya mambo mbalimbali unaweza tumia mkono kuweza kusogeza kitu pembeni , ku pause, kubadilisha kitu au sauti kutafuta unachotaka nk.
Gharama yake [emoji117] dollar $3499 sawa na Tsh 8,289,131.00m (milion Nane laki mbili na Elfu themanini na Tisa)
Itaanza Ramsi kupatikana kuanzia mwaka 2024 [emoji3578]
Teknolojia ni Yetu sote unaionaje hii teknolojia maana unaweza tembea nayo mahali popote na kutumia bila shida tuachie maoni yako?
Apple wametambulisha teknolojia mpya ya AR headset baada ya miaka mingi kupita. Apple imetambulisha kifaa kipya cha kuvaa machoni kinaitwa Apple Vision Pro kinakusaidia kutizama ulimwengu halisi pamoja na kidigitali.
Ni kifaa ambacho kinatumia mfumo wa 3D interface unaweza ku control kwa kutumia macho , sauti pamoja na mkono. Utaweza kutumia kuingia sehemu mbalimbali kama vile kuperuzi mitandaoni, utakutana na apps Mbalimbali Ikiwa na mfumo wake unaitwa VisionOs.
Unaweza kugusa , kusogeza,pia kutumia sauti yako kuingia mahali popote utaweza kuona program Zako zote.mfumo wake unatoa Muonekano mzuri kwenye Eneo lolote lile ili uweze kutizama kwa ubora na ufanisi.
Ni miwani ambayo yenye Rangi nyeusi Ikiwa na
• 4k display kwenye kila sensor
• ina sensor 5 Ikiwa pamoja na 12 kamera
• Ikiwa na frame ya kioo cheusi
• inatumia battery yenye masaa mawili
• Ikiwa na mfumo wa kompyuta ndani yake pamoja feni yenye kupooza mfumo mzima ndani.
Unaweza tumia pia kwenye kompyuta ya Mac Pamoja na ipad Ikiwa na magic keyboard ambayo utaunganisha tu ndani ya Headset yako na kuanza kutumia bila kuishika kompyuta au simu yako.
Kwa chini kuna kamera yenye kutizama mikono yako na kukusaidia kuweza kufanya mambo mbalimbali unaweza tumia mkono kuweza kusogeza kitu pembeni , ku pause, kubadilisha kitu au sauti kutafuta unachotaka nk.
Gharama yake [emoji117] dollar $3499 sawa na Tsh 8,289,131.00m (milion Nane laki mbili na Elfu themanini na Tisa)
Itaanza Ramsi kupatikana kuanzia mwaka 2024 [emoji3578]
Teknolojia ni Yetu sote unaionaje hii teknolojia maana unaweza tembea nayo mahali popote na kutumia bila shida tuachie maoni yako?