johnhance
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 1,769
- 2,108
π π π π π π πSisi tuliotimuliwa kazini kwa figisu za uhakiki wa vyeti udenda unatutoka.
π π π π π π πSisi tuliotimuliwa kazini kwa figisu za uhakiki wa vyeti udenda unatutoka.
Anasema mumuombeeSisi tuliotimuliwa kazini kwa figisu za uhakiki wa vyeti udenda unatutoka.
π π π π π πhahahaKwa hiyo nakulipa laki nne kwa kazi ya kuipost JF?
Kama nimekuelewa vizuri, unataka ulipwe fee ya sh 400,000 sawa na mwezi mmoja wa kodi? Ni sawa? Kama ni sawa nadhani hii ni aina nyingine ya maajabu yanayopatikana Tanzania tu kwani hiyo gharama ni kubwa mno. Mngewekuwa mnaweka resonable fees ikizingatiwa bado kuna ajabu jingine la kulipa kodi ya miezi sita ambalo hupatikana Tanzania tu! 400,000 x 6 = 2,400,000 + 400,000 = 2,800,000!!......