House4Rent Appartment inapangishwa

It would be better to come and check it out.
I assure you won't be disappointed
 
karibuni mje muiangalie
I'm sure you won't be disappointed
Karibuni sana.
 
Kama nimekuelewa vizuri, unataka ulipwe fee ya sh 400,000 sawa na mwezi mmoja wa kodi? Ni sawa? Kama ni sawa nadhani hii ni aina nyingine ya maajabu yanayopatikana Tanzania tu kwani hiyo gharama ni kubwa mno. Mngewekuwa mnaweka resonable fees ikizingatiwa bado kuna ajabu jingine la kulipa kodi ya miezi sita ambalo hupatikana Tanzania tu! 400,000 x 6 = 2,400,000 + 400,000 = 2,800,000!!.
 
The apartment is for rent.

If you are interested
PM or Call pl'se
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom