Habarini wakuu, natumau hamjambo
Ndugu nimeskia Kuna app maalum kwa ajili ya viziwi ambayo inawasaidia pale mtu akikupigia ukipokea simu yule mtu akiongea ile app inakuletea maandishi kwenye skrini ukimjibu kwa kuongea na yeye kule akiongea TU huku yanakuja maandishi mengine
Je, Kuna ukweli?! Kama jibu Ni ndio naomba mniambie hiyo app inaitwaje maana na mieni muhanga jamani
Ndugu nimeskia Kuna app maalum kwa ajili ya viziwi ambayo inawasaidia pale mtu akikupigia ukipokea simu yule mtu akiongea ile app inakuletea maandishi kwenye skrini ukimjibu kwa kuongea na yeye kule akiongea TU huku yanakuja maandishi mengine
Je, Kuna ukweli?! Kama jibu Ni ndio naomba mniambie hiyo app inaitwaje maana na mieni muhanga jamani