Musixmatch ipo goodWakuu mambo niaje,
Nahitaji ku install app ambayo nikiplay wimbo popote na kuifungua hiyo app iwe na uwezo wa ku-play lyrics yake automatically.
Msaada wenu wakuu.
Ukishadownload ukipiga wimbo mara ya kwanza kusearch mashairi lazima uwashe data ila ukishapata mashairi utakuwa offline na mashairi yatasoma kawa kawaida, now days hadi nyimbo za kibongo zina mashairi japo sio zotehiyo musixmatch inahitaji uwe online i mean haiwez ika download na ukasoma ukiwa offline
Tamu sana, lazima uipende ukiwa nayoSure mkuu.....nmeijarbu hapa ni tamu hatar
Nakushauri utafute app ya Genius, zamani ilikuwa ikiitwa Rapgenius as it focused mainly on rap and hip hop education. Lakini sasa hivi ni multi-genre, kuna mamillion ya lyrics na unapata kujua maana ya lyrics na baadhi ya rap verses zenye utata zinapata kudiscussiwa huko.
mkuu tupia link basi niipakueMusixmatch, nzuri sn ndio natumia hata mm
Musixmatch..... That's all.Wakuu mambo niaje,
Nahitaji ku install app ambayo nikiplay wimbo popote na kuifungua hiyo app iwe na uwezo wa ku-play lyrics yake automatically.
Msaada wenu wakuu.