Almeda Member Joined Jan 24, 2013 Posts 53 Reaction score 10 Jun 8, 2013 #1 Hbr wana jf, naomba kujuzwa jinsi ya kuitumia maana kila ninapoifungua nashindwa kulog in maana inafunguka moja Kwa moja ktk forum na ndiyo maana napata SMS kutoka Kwa admistrater kuniuliza ww ni nano sb najua siku sign in
Hbr wana jf, naomba kujuzwa jinsi ya kuitumia maana kila ninapoifungua nashindwa kulog in maana inafunguka moja Kwa moja ktk forum na ndiyo maana napata SMS kutoka Kwa admistrater kuniuliza ww ni nano sb najua siku sign in
RGforever JF-Expert Member Joined Apr 3, 2011 Posts 6,877 Reaction score 5,444 Jun 8, 2013 #2 Hii app inamatatizo sa hv.. Nadhani timu ya JF inafanya kazi kui-update