Mkuu maelezo kdgo kuhus hii bigtoken ikoje??Geopoll, Premise na Bigtoken
Geopoll, Premise na Bigtoken
Kivip kk wanzingua nambie?But premise wanazingua saiv
Nielekeze na mimi mkuu..Premise iko vizuri,nishapiga kama laki na nusu hivi toka niifahamu mwezi mmoja uliopita
Duh umewezaje mimi nina miezi 8 tangu kuijua ila sijawahi kufikisha 1000 na wala sijawahi ku hamisha pesa yani sielewi elewi.Premise iko vizuri,nishapiga kama laki na nusu hivi toka niifahamu mwezi mmoja uliopita
online survey kuna maswali unatumiwa ukimaliza kujibu wanakulipa hiyo pesa utakayopewa unaweza kutoa kama Salio la mda wa maongezi mfano ni geopoll kwa premise ukitoa inaenda m pesa au Tigo pesa
Tunaomba mtu eleze kwa kirefu hii online survey ni kitu gani wajuzi,kwa mfano mm sijaelewa hata kidogo pamoja ni hizo comment hapo juu
Premise wanatoa survey, kwa kigezo cha location uliopo.Lakini kikubwa zaidi ni mfumo wa kuwahi survey/task zikitolewa(first come, first served). Kwa uzoefu wangu, muda mzuri wa kuangalia survey/task kwenye app ni saa 6-8 usiku, unaingia kwenye app unareserve task kwa ajili ya kuifanya baadae.Mchana mara nyingi survey watu wanakuwa washaziwahi, ndo maana ukifungua unakuta empty.Nielekeze na mimi mkuu..
PoaPremise wanatoa survey, kwa kigezo cha location uliopo.Lakini kikubwa zaidi ni mfumo wa kuwahi survey/task zikitolewa(first come, first served). Kwa uzoefu wangu, muda mzuri wa kuangalia survey/task kwenye app ni saa 6-8 usiku, unaingia kwenye app unareserve task kwa ajili ya kuifanya baadae.Mchana mara nyingi survey watu wanakuwa washaziwahi, ndo maana ukifungua unakuta empty.
Mimi nilipata task 31,ambazo kila moja nililipwa wastani wa tsh4500.Task zilikuwa za kupiga picha mabango.
Na surveys huwa napata daily za kama tsh 500 hivi, ingawa ni ndogo ila zinatosha kusaidia vocha
Mkuu hivi premise kwenda M Pesa inakubali?Premise iko vizuri,nishapiga kama laki na nusu hivi toka niifahamu mwezi mmoja uliopita