Kachora hina hadi wapi vile!!!!!???
Sijakususa, mbona nakupa sana likes za nyingi. fanya uje Mwanza.Dada kweli umenisusaaa
Kachora hadi kwenye k
Sijakususa, mbona nakupa sana likes za nyingi. fanya uje Mwanza.
Kakukera vipi sasa?Habari za eid ndugu wana jf?
Swali kwenu wanaume hivi unaanzaje kumuacha mwanamke uliempenda kwa dhati?
Au mnakuaga mnajaribu tu hayo mapenzi?
Huyu kaka kanikera sana baada ya kumpa talaka mke wake masaa machache baada ya ndoa
Kisa kachora hinna mpaka kwenye k,
Kwani hampendi tupendeze kwa ajili yenu?
Ila mi binafsi sipendi mwanaume mwenye tatoo kama unatatoo kaa mbali na mimi.
View attachment 1120666View attachment 1120668
Karibu sana nitakuzururisha mpaka basi!!!!Mwezi wa 12 nina mwezi mzma wa kukaa mwanza dada kwako naweka week 1 tutakuwa pamoja
Sasa hata kama ni mwanamme aliyemchora, si ilikuwa ni ajira tu ya muda mfupi ya kumpamba Bi harusi. hahahahahahaahKakukera vipi sasa?
Jamaa kajiuliza nani alikua mchoraji
Usikute kaambiwa mkewe alichorwa hinna na mwanaume sasa vaa viatu vya jamaa tuone
Karibu sana nitakuzururisha mpaka basi!!!!
Karibu Mwanza ufurahie maisha mazuri, hali ya hewa nzuri, viwanja vya uhakika
Pia wanaume wa huku ni wa karimu. Sio wa huko Dar, nasikia akikununulia soda ya fanta ile unaanza tu kunywa tayari anakuswali "hivi kuna guest karibu maeneo haya..." hahahahahahahhah
Utani huoSasa hata kama ni mwanamme aliyemchora, si ilikuwa ni ajira tu ya muda mfupi ya kumpamba Bi harusi. hahahahahahaah
Mimi sina tatoo... Utanifaa na nitakufaa.. tutaendanaHabari za eid ndugu wana jf?
Swali kwenu wanaume hivi unaanzaje kumuacha mwanamke uliempenda kwa dhati?
Au mnakuaga mnajaribu tu hayo mapenzi?
Huyu kaka kanikera sana baada ya kumpa talaka mke wake masaa machache baada ya ndoa
Kisa kachora hinna mpaka kwenye k,
Kwani hampendi tupendeze kwa ajili yenu?
Ila mi binafsi sipendi mwanaume mwenye tatoo kama unatatoo kaa mbali na mimi.
View attachment 1120666View attachment 1120668