ni katika kazi
Member
- Jan 15, 2009
- 36
- 10
kwa sasa zimebaki sita. Zote ni three bedroom, one master na mbili vyumba vya kawaida,kitchen, large living room na balcony mbili.ziko ngapi?hazitofautiani?mfano one-bedroom,2-bedroom.......
bei mkuu au maelewano?
sa mdau kaweka post thn kasepa badala ya kujibu maswali yetu.bei mbona hujaweka?kifup maelezo yako hayajitoshelezi kabisa!!!
information haijakamilika
gharama, na kufukika kwake, pia nisaidie payment terms kama ngi 3,6 12months