Mi mwenyewe ninayekaa Temeke bado hujanipeleka Kimara; tena kwa Laki Tano; kodi ya miezi sita Temeke na change inarudi!!!!! Mleta mada usin'tanie.Hata wakinga hawaishi kimara, sembuse wageni wa kutoka nje ya nchi? Lol
Dalali umesahau kupiga picha reserve tank ya maji tuone ni ya lita ngapi?