Apartment inauzwa mikocheni

Apartment inauzwa mikocheni

Bzney

Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
16
Reaction score
0
Apartment inauzwa Mikocheni ni full furnished ipo Mikocheni kwa Warioba karibu na Supermarket ya Tns. Kwa mawasiliano zaidi piga no. 0717 11 12 12/ 0766 11 12 12
 
Bei ni $ 3500,000 meza ya mazungumzo iko wazi.
 
hapo hujaelezea sifa za mikocheni kama mafuriko ya vinyesi mara kwa mara etc. ingekuwa masaki ungeuza aje?
 
kweli bongo imeharibika angalia nyumba hii ya nusu ya bei uliyotaja wewe na iko mbelembele hukoooooo..
house.jpg http://winchester.patch.com/articles/two-multi-million-dollar-homes-for-sale-in-winchester#photo-13208102
 
kweli bongo imeharibika angalia nyumba hii ya nusu ya bei uliyotaja wewe na iko mbelembele hukoooooo..
View attachment 85605http://winchester.patch.com/articles/two-multi-million-dollar-homes-for-sale-in-winchester#photo-13208102

Shida si hawa mafisadi ndo wanatuharibia nchi, wewe unadhani anayetangaza hajui kama bei ni Mkasi? ila ashaona mfano wa manunuzi dizaini hiyo, watu wanapanga nyumba kwa dola 10,000 kwa mwezi sembuse kununua?

Nchi itasafishika mafisadi wakiisha
 
Watu kama hawa enzi za Nyerere unamfunga tu,,huu utapeli wa wazi kabisa yaani unauza nyumba bei kuzidi hata Canada...
 
Bei ni $ 3,500,000 meza ya mazungumzo iko wazi.
nadhani hii kingdom inayojengwa ndani ya kingdom nyingine iitwayo Tanzania haiwezi kulast kwa miaka mingi.
We are poor because we are poor na hili linaonekana ni kweli.
Huu ni mwendelezo wa story kama ile ya nyumba ya mheshimiwa mmoja iliyopo tangi bovu mbezi iliyoletwa hapa jamvini kuwa pamoja na kujengwa kwenye prime location lakini wapangaji wanaikimbia. Miaka 10 ijayo Watu watakuwa na busara zaidi!

 
Samahani wapendwa naomba kusahihisha, ni $ 350,000 pole kwa usumbufu uliojitokeza.
 
Samahani wapendwa naomba kusahihisha, ni $ 350,000 pole kwa usumbufu uliojitokeza.

Hiyo bei bado ni ghali kwa "apartment", labda siyo apartment umekosea maelezo. Weka specifications zake pamoja ni picha tuone mkuu, mbona appartments za nzuri tu zinatembea kwa 200-150M vyumba vitatu, sebule jiko dinning fully furnished! sasa hiyo ya nusu billioni kaka hebu tujuze vizuri!
 
Samahani wapendwa naomba kusahihisha, ni $ 350,000 pole kwa usumbufu uliojitokeza.
Actually wakati naandika response yangu nilidhani hiyo ndio bei yenyewe! Kumbe niliimiss sifuri moja? It doesnt change a thing, bado kwa apartment hiyo bei sio realistic.
 
Hata hiyo bado iko juu hyo bei kwa apartment hell no! Watu wengi wanauza apartment kwa dollar lak moja tena hyo bei kwa maeneo ya posta na upanga, punguzeni bei wapendwa
 
Actually wakati naandika response yangu nilidhani hiyo ndio bei yenyewe! Kumbe niliimiss sifuri moja? It doesnt change a thing, bado kwa apartment hiyo bei sio realistic.

Watu wananunua mkuu....
Bongo watu wana hela (i can bet the money ain't clean).....wanunua tu....bila hata ya kuwaza kama bei ni realistic!
Kuna siku nilienda kwenye kamnada flani, watu walinishangaza walivyopandisha bei!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom