Apartment inapangishwa mbezi makabe.

Apartment inapangishwa mbezi makabe.

kyata

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2015
Posts
2,534
Reaction score
2,500
Rejea kichwa cha thread, ninatafuta mpangaji wa nyumba kwenye eneo tajwa. In nyumba mpya yenye sifa zufuatazo:

1. Ni apartment 2, kila moja ina, 2 bedrooms, kimoja ni master, jiko kubwa, sitting room, dining room, public toilet na verandah 2 mbele na nyuma.

2. Nyumba hiko ndani ya uzio, Luna nafasi kubwa ya parking.

3. Ndani ya uzio kuna kisima cha maji.

4. Kodi kwa mwezi ni shilingi za kitanzania 250,000/= kwa mwezi, kwa kila unit.
5. Kwa atakayehitaji tafadhari tuwasiliane kwa simu no. 0755380525.

Nb. Nyumba ni mpya kabisa, ukibahatika kuipanga utakuwa was kwanza. Ni mbezi makabe maeneo ya Mwanza garage. Picha zinafuata. Aksanteni.
 

Attachments

  • IMG_20190126_174141.jpg
    IMG_20190126_174141.jpg
    195.2 KB · Views: 31
  • IMG_20190126_174229.jpg
    IMG_20190126_174229.jpg
    88.2 KB · Views: 30

Similar Discussions

Back
Top Bottom