Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh balaa!Ni mkazi wa bagamoyo,aitwaye HAMIS TANGA,ameota matiti baada ya kutumia dawa za kupambana na virusi vya ukimwi
sosi:mwananchi
Mh balaa!
Nimeshindwa kuelewa kuwa alitumia ili kuongeza nguvu za mwili au na yeye ni mtumiaji kutokana na maradhi yanayomsibu
Tatizo haya mambo yetu ya kupeana dawa bila kuelimishana athari zake ndo haya sasa! Hapo nadhani huyu mwananchi ana haki ya kuishtaki mamlaka ya dawa na chakula kwa kutotoa tahadhari ya athari za matumizi ya dawa hizo! Pole kwa Bwana Khamis!