anywa sumu baada ya kufeli form four

anywa sumu baada ya kufeli form four

Mtoto wa tembo

Senior Member
Joined
Oct 4, 2012
Posts
198
Reaction score
30
mwanafunzi wa shule ya kaloleni katika jiji la Arusha anaejulikana kwa jina moja la Ashura .
Amekunywa sumu aina ya ddt.
Kibaya zaidi alikua mtoto pekee kwenye familia .inasikitisha sana.RIP mwanafunzi.
 
mwanafunzi wa shule ya kaloleni katika jiji la Arusha anaejulikana kwa jina moja la Ashura .
Amekunywa sumu aina ya ddt.
Kibaya zaidi alikua mtoto pekee kwenye familia .inasikitisha sana.RIP mwanafunzi.

too bad...RIP toto
 
mwanafunzi wa shule ya kaloleni katika jiji la Arusha anaejulikana kwa jina moja la Ashura .
Amekunywa sumu aina ya ddt.
Kibaya zaidi alikua mtoto pekee kwenye familia .inasikitisha sana.RIP mwanafunzi.
Mtoto wa tembo huyu mtoto wa pekee wazazi wake walimpeleke shule gani? Sitegemei mtoto wa pekee kupelekwa shule ya kata
 
Last edited by a moderator:
So sad jamani kufeli mtihani si kufeli maisha vijana.

Wazazi pia wanaweza kuwa chanzo cha watoto kujiua, mtoto kafeli basi mnamsema kama ndio mwisho wa maisha mliacha kumjengea mazingira ya kupasi mnaanza kumsimanga maji yamemwagika.
 
Jamani nina kiwanja changu 20m X 20m nataka kuweka nyumba vya kupangishwa kwa ajili ya maandalizi ya ada za sekondari kwa watoto wangu; kiwanja kipo Arusha, wapangaji wanapatikana nachoomba mwenye ubunifu maana natamani kujenga vyumba vya "double" vyenye choo ndani na shemu ya kupikia "corridor". Naomba msaada wa "design"
 
so sad jamani...ila people do differ kuna binamu yabgu kapata 35 hata kusikitika hamna!!! RIP Ashura
 
mwanafunzi wa shule ya kaloleni katika jiji la Arusha anaejulikana kwa jina moja la Ashura .
Amekunywa sumu aina ya ddt.
Kibaya zaidi alikua mtoto pekee kwenye familia .inasikitisha sana.RIP mwanafunzi.

DDT haipatikani madukani siku hizi...
 
Hapo hawajafika shule

Form Four.jpg

Unategemea nini usafiri wenyewe ndiyo huu. Sera ya kuinua kiwango cha elimu kwa watoto shuleni haitakiwi kuanzia shuleni ianzie hapa anafika vipi shuleni???

 
Mtoto wa tembo huyu mtoto wa pekee wazazi wake walimpeleke shule gani? Sitegemei mtoto wa pekee kupelekwa shule ya kata

kwa nini isiwezekane yeye kupelekwa shule ya kata? kuwa pekee na ikiwa familia haijiwezi kwenda shule ya kata ni jambo la kutegemewa.
 
Jamani nina kiwanja changu 20m X 20m nataka kuweka nyumba vya kupangishwa kwa ajili ya maandalizi ya ada za sekondari kwa watoto wangu; kiwanja kipo Arusha, wapangaji wanapatikana nachoomba mwenye ubunifu maana natamani kujenga vyumba vya "double" vyenye choo ndani na shemu ya kupikia "corridor". Naomba msaada wa "design"

Mkuu hapa sio sehem yake, hapa ni mtoto kafariki kwa kunywa sumu (DDT)baada ya kupata dvs0.
 
mwanafunzi wa shule ya kaloleni katika jiji la Arusha anaejulikana kwa jina moja la Ashura .
Amekunywa sumu aina ya ddt.
Kibaya zaidi alikua mtoto pekee kwenye familia .inasikitisha sana.RIP mwanafunzi.
Hata mimi mapata ushungu sana, R.I.P Ashura.
 
Back
Top Bottom