Anything photos... Addicts only!

Kila siku huwa ninawaambie watu hakuna the best great thinker kama mshana
πŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ‘ŒπŸΏπŸ“ŒπŸ”¨πŸ™πŸΏπŸ™πŸΏ
 
Sio chunusi bali ni mkondo wa maji usioonekana
Mkuu yalikuwa ni makatazo tu. Lakini hiyo hali haikumkuta hata mtoto mmoja.
Ingawa tulivyokuwa Tunarudi home tunakaguliwa macho.

Yakiwa mekundu tu, basi hapo ni kipigo cha haja. Ulikuwa Ngungani (Mtoni) mjinga wewe utavutwa na chunusi
 
Mkuu yalikuwa ni makatazo tu. Lakini hiyo hali haikumkuta hata mtoto mmoja.
Ingawa tulivyokuwa Tunarudi home tunakaguliwa macho.

Yakiwa mekundu tu, basi hapo ni kipigo cha haja. Ulikuwa Ngungani (Mtoni) mjinga wewe utavutwa na chunusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…