Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,864
- 24,648
Jamaa yangu tupo naye kazini si tunapenda kumtania kwa jina la Ustaadh anasimulia kisa kilichotokea week iliyopit Mkoa mmoja Mkubwa Huko Nyanda za Juu Kusini.
Miaka ya nyuma vijana wengi wa sasa wasingeweza kupata wanawake wakalala nao. maana ilikuwa ngumu sana kumvua mwanamke chupi(jamaa mmoja ameelezea hili) ilikuwa inatakiwa uwe umeshiba hasa ikiwezekana umbebe kumpeleka kitandani. huko ukamvue ch**** ilikuwa issue. au ikibidi umpige ngwala.... sasa vijana wa sasa nguvu hamna hayo mambo mngeweza kweli?
Anasema ana jamaa yake x alienda kujitambulisha Jijin huko kwenye wanaume na wanawake wanene weusi tii. X alipangiwa siku ya kwenda kujitambulisha kwa wakwe wilayani huko mbali na jiji.akaenda ikafika wakati wa kula akipelekewa Kuku mkubwa sana, wali, ndizi, maparachichi na mazagazaga mengine yakatengwa mezani.
Mchumba mtarajiwa akawa amekaa na jamaa yake ili wapige ule msosi.jamaa akala kimjin mjini karibia robo tatu ya chakula ikarud.inasemekana jamaa alikula kuku paja moja tu na wali kias ndizi mbili mbalagha. Yule dada alimbembeleza sana na kumshawish jamaa aongeze x aligoma akidai ameshiba sana na kuwa siku ile amekula sana hajawah kula vile.
Bint aliporudisha vitu jikoni mama akamwuliza mbona umetoa vitu kabla mwenzio hajala? Bint akajibu jamaa kwa ile ratio amekula sana. Mama akaguna tu maana ikiiuwa ni chakula cha usiku na ndo jamaa ametoka mjini wakajua atakuwa ameshiba njiani.
Kesho asubuh likapelekwa birika lenye maziwa na viazi sinia zima. Jamaa akanywa maziwa kikombe kimoja na viazi viwili. Tena bint alivyorudisha mama akauliza kwa ukali kidogo "kwa nini unatoa vyombo wakati mwenzio hajamaliza kula?" Bint akajibu jamaa amekula ameshiba. Mama akauliza kama mkwe mtarajiwa ni mgonjwa.akajibiwa si mgonjwa kabisa mzima bukheri wa afya.
Mchana tena hali ikawa ile ile kuku tena hakuliwa ipavyo.baada ya siku mbili jamaa akaaga anarud mjini.basi akaagwa akaondoka. Jioni wazaz wakamwita bint yao na kumwambia wao kama wazaz hawaamini jamaa kama anaweza kuwa mkwe wao. Anashindwaje kula kama wanaume wanavyokula. Anyway hana mwili mkubwa basi angalau aonekane ana nguvu za kipiga msosi wa kutosha kama mwanaume.wakawa na wasiwas hata watoto watazaliwa weak. Na anaweza asiwe anamshughulikia kitandani mtoto wao ipasavyo.
Wakaenda mbali zaidi kuwa atawatesa watoto na ndugu wakienda mtembelea wakawa wanapiga msosi sana jamaa atamind kuona yeye anakula slice mbili halafu kuna mtu anapiga mkate mzima au nusu mkate na chai na ugali asubuh.
Wakaelezea kuwa watu wasiokula kiasi cha kutosha huwa wanakuwa wachoyo na wabahili sana. Hasa huumia wakiona wengine wanapiga sana msosi majumbani kwao.hivyo atawaua kwa njaa. Wakamwambia hawana ugomvi naye kama bint atalazimisha ila wao wametoa maoni yao. Bint ajitafakari kama akiona waliyosema ni sawa ajiuzulu nafasi ya kuwa mchumba na hatimaye mke.lakini je anawezaje kupambana na watu wakitishia usalama wa mke wake au watoto?maana hatakuwa na nguvu za kutosha
Bint aliwaza sana. Akakumbuka kweli jamaa siku zote anamkataza asile sana eti atanenepa so apunguze mwili.wakienda hotel jamaa ananunua kuku robo wale wote na chips kavu. Akakumbuka wakinunua pizza medium jamaa anasema they have to share.
Bint akatengua uteuzi wake. Akaamwambia jamaa waishie tu palepale yeye anaamua kuendelea na maisha mengine. Nasikia jamaa week ya pili hii analia tu room hatak kufanya lolote. Na ukichukulia yupo likizo. Basi jamaa ndo kakosa mke kwa sababu ya kula kibitozi mikoa yenye kuzalisha chakula kwa wing na yenye wanaume wa shoka.
Wito wangu. Akina kaka mliopo mijini fanyeni kazi, kuleni vizuri msishindie na kulalia pombe tu na kutengeneza vitambi vya kizembe.pigeni kazi watu wanawaona mjue. Na pia msiwaharibie wenzenu walioko mjini reputation ikaonekana wote wako hivyo. Mjini wenyewe mnasema wanaume hawasifiwi kula?upuuzi huo. Mwanaume mzima unajiita kiroboto,nyigu n.k? Sasa mtakutana na simba,nyati,tembo,faru n.k
Miaka ya nyuma vijana wengi wa sasa wasingeweza kupata wanawake wakalala nao. maana ilikuwa ngumu sana kumvua mwanamke chupi(jamaa mmoja ameelezea hili) ilikuwa inatakiwa uwe umeshiba hasa ikiwezekana umbebe kumpeleka kitandani. huko ukamvue ch**** ilikuwa issue. au ikibidi umpige ngwala.... sasa vijana wa sasa nguvu hamna hayo mambo mngeweza kweli?
Anasema ana jamaa yake x alienda kujitambulisha Jijin huko kwenye wanaume na wanawake wanene weusi tii. X alipangiwa siku ya kwenda kujitambulisha kwa wakwe wilayani huko mbali na jiji.akaenda ikafika wakati wa kula akipelekewa Kuku mkubwa sana, wali, ndizi, maparachichi na mazagazaga mengine yakatengwa mezani.
Mchumba mtarajiwa akawa amekaa na jamaa yake ili wapige ule msosi.jamaa akala kimjin mjini karibia robo tatu ya chakula ikarud.inasemekana jamaa alikula kuku paja moja tu na wali kias ndizi mbili mbalagha. Yule dada alimbembeleza sana na kumshawish jamaa aongeze x aligoma akidai ameshiba sana na kuwa siku ile amekula sana hajawah kula vile.
Bint aliporudisha vitu jikoni mama akamwuliza mbona umetoa vitu kabla mwenzio hajala? Bint akajibu jamaa kwa ile ratio amekula sana. Mama akaguna tu maana ikiiuwa ni chakula cha usiku na ndo jamaa ametoka mjini wakajua atakuwa ameshiba njiani.
Kesho asubuh likapelekwa birika lenye maziwa na viazi sinia zima. Jamaa akanywa maziwa kikombe kimoja na viazi viwili. Tena bint alivyorudisha mama akauliza kwa ukali kidogo "kwa nini unatoa vyombo wakati mwenzio hajamaliza kula?" Bint akajibu jamaa amekula ameshiba. Mama akauliza kama mkwe mtarajiwa ni mgonjwa.akajibiwa si mgonjwa kabisa mzima bukheri wa afya.
Mchana tena hali ikawa ile ile kuku tena hakuliwa ipavyo.baada ya siku mbili jamaa akaaga anarud mjini.basi akaagwa akaondoka. Jioni wazaz wakamwita bint yao na kumwambia wao kama wazaz hawaamini jamaa kama anaweza kuwa mkwe wao. Anashindwaje kula kama wanaume wanavyokula. Anyway hana mwili mkubwa basi angalau aonekane ana nguvu za kipiga msosi wa kutosha kama mwanaume.wakawa na wasiwas hata watoto watazaliwa weak. Na anaweza asiwe anamshughulikia kitandani mtoto wao ipasavyo.
Wakaenda mbali zaidi kuwa atawatesa watoto na ndugu wakienda mtembelea wakawa wanapiga msosi sana jamaa atamind kuona yeye anakula slice mbili halafu kuna mtu anapiga mkate mzima au nusu mkate na chai na ugali asubuh.
Wakaelezea kuwa watu wasiokula kiasi cha kutosha huwa wanakuwa wachoyo na wabahili sana. Hasa huumia wakiona wengine wanapiga sana msosi majumbani kwao.hivyo atawaua kwa njaa. Wakamwambia hawana ugomvi naye kama bint atalazimisha ila wao wametoa maoni yao. Bint ajitafakari kama akiona waliyosema ni sawa ajiuzulu nafasi ya kuwa mchumba na hatimaye mke.lakini je anawezaje kupambana na watu wakitishia usalama wa mke wake au watoto?maana hatakuwa na nguvu za kutosha
Bint aliwaza sana. Akakumbuka kweli jamaa siku zote anamkataza asile sana eti atanenepa so apunguze mwili.wakienda hotel jamaa ananunua kuku robo wale wote na chips kavu. Akakumbuka wakinunua pizza medium jamaa anasema they have to share.
Bint akatengua uteuzi wake. Akaamwambia jamaa waishie tu palepale yeye anaamua kuendelea na maisha mengine. Nasikia jamaa week ya pili hii analia tu room hatak kufanya lolote. Na ukichukulia yupo likizo. Basi jamaa ndo kakosa mke kwa sababu ya kula kibitozi mikoa yenye kuzalisha chakula kwa wing na yenye wanaume wa shoka.
Wito wangu. Akina kaka mliopo mijini fanyeni kazi, kuleni vizuri msishindie na kulalia pombe tu na kutengeneza vitambi vya kizembe.pigeni kazi watu wanawaona mjue. Na pia msiwaharibie wenzenu walioko mjini reputation ikaonekana wote wako hivyo. Mjini wenyewe mnasema wanaume hawasifiwi kula?upuuzi huo. Mwanaume mzima unajiita kiroboto,nyigu n.k? Sasa mtakutana na simba,nyati,tembo,faru n.k