Ni ya posta ndio, but address ya bank yako. Yaani hiyo credit card si umepewa na bank? Basi address ya hiyo bank nd'o billing address. kama nimekosea wenzangu watakaofuata watanisaidia kurekebisha.
Mkuu naushauri hayo maswali ya debit/ credit card muulize provider wako. Unless wameshindwa kukusaidia Usije ukakuta unajiexpose kwa details ndogo ndogo tu . Watu wegine wana uwezo wa ku connect the dots....... Kuna winigeria wanajua kiswahili teh teh teh teh
inategemea unataka kununua nini,mimi huwa nanunua vitu online kwa kutumia paypal lakini kama nataka kununua kitu cha dola 500 basi akaunti yangu naweka sh laki saba na nusu za kitanzania,hii ukiconvert kwa dola baada ya manunuzi nAKUTA AKAUNTI yangu imebakiwa nakama sh 10000 za kitanzania,usijaribu kuweka pesa kwenye akaunti yako ya online kwani siku hizi wajanja ni wengi mno na hawana kazi za kufanya zaidi ya kutrace akaunti za watu mabalimbali mtandaoni.