B bahiri la kigogo Member Jul 31, 2012 22 3 Sep 27, 2012 #1 habari wanajamii naomba kujuzwa kama kuna mtu anatarifa za interview ya maongezi baada ya zile za kuandika
habari wanajamii naomba kujuzwa kama kuna mtu anatarifa za interview ya maongezi baada ya zile za kuandika
Man Ngosha JF-Expert Member May 2, 2012 219 69 Sep 28, 2012 #2 GEPF wameanza kuwapigia simu watu,kuna jamaangu amepigiwa simu jana asubuhi na ameambiwa oral interview itakuwa tar 2 mwezi wa 10,
GEPF wameanza kuwapigia simu watu,kuna jamaangu amepigiwa simu jana asubuhi na ameambiwa oral interview itakuwa tar 2 mwezi wa 10,