mh!mkuu interview imefanyika j.mosi aafu ijumaa umepigiwa cm??We ulifanya juu ya nafasi ipi? Mie nimepigiwa simu ijumaa natakiwa niende ofisini kwao na vyeti original.
Wamepiga na namba gani???We ulifanya juu ya nafasi ipi? Mie nimepigiwa simu ijumaa natakiwa niende ofisini kwao na vyeti original.
Hujamuelewa, kaambiwa ijumaa ya wiki hii aende ofisini kwao na vyeti original.mh!mkuu interview imefanyika j.mosi aafu ijumaa umepigiwa cm??
asante kwa kunielewesha mkuu.Hujamuelewa, kaambiwa ijumaa ya wiki hii aende ofisini kwao na vyeti original.
mi nlifanya kwa sales and marketing mkuuWe ulifanya juu ya nafasi ipi? Mie nimepigiwa simu ijumaa natakiwa niende ofisini kwao na vyeti original.
CAMUSAT kwa sasa hawajadaka project yeyote but they expect to get them soon so pale walichokuwa wanafanya ni kucollect C.V na kama project wakipata watawaita wale wenye vigezo...
But I smell tatzo pale....uchuolization...