Utanikuta stand nakusubiri.wandugu nataraji kuwa shinyanga siku ya kesho na kesho kutwa...!ningependa kukutana na Jf member around huko...anioneshe maviwanja niaje niaje!
Utanikuta stand nakusubiri.
Hehehe, BAGAH ashindwe mwenyewe!wifi uko kila sehemu?
wandugu nataraji kuwa shinyanga siku ya kesho na kesho kutwa...!ningependa kukutana na Jf member around huko...anioneshe maviwanja niaje niaje!
Hehehe, BAGAH ashindwe mwenyewe!
Sasa mbona mgeni mtarajiwa nae kakimbia?sawa mamie sikuezi
Sasa mbona mgeni mtarajiwa nae kakimbia?
Hahaha! Mwite bana, mwambie hanikuti tena stand...kaogopa mapokezi yako,khaa eti umkute stand!
Sipati picha alivyolia! Asijali safari sio kifo! Mwambie akuombee ufike salama na urudi salama!nipo nilikua naaagana na mwenzako!
asante Kabby...mm nilijua nitamkuta nanihiuu...