Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,628
- 218,059
Hii ndio taarifa iliyotolewa na Sky Sports , kwamba kuna dalili za club ya soka ya Arsenal kuzinduka kutoka kwenye limbwata la Mikel Arteta na kumtupia virago , huku ikihusishwa na Kocha wa zamani wa Inter Milan Antonio Conte .
Ngoja tuendelee kusubiri .
Ngoja tuendelee kusubiri .