Idimulwa JF-Expert Member May 27, 2011 4,503 1,722 Dec 16, 2011 #1 Kaeni mkao wa kula wana A town Source ni Sugu mwenyewe ndani ya taarifa ya habari chanel Ten
Pukudu JF-Expert Member Jan 7, 2011 3,148 2,220 Dec 16, 2011 #3 nafkiri ni tar 18 viwanja vya tripple A au kuna mabadilko
Bei Mbaya JF-Expert Member Nov 24, 2010 2,262 843 Dec 16, 2011 #4 Pukudu said: nafkiri ni tar 18 viwanja vya tripple A au kuna mabadilko Click to expand... vivyo hivyo, Big lights, Big sounds Antivirus with No Apology inaendelea
Pukudu said: nafkiri ni tar 18 viwanja vya tripple A au kuna mabadilko Click to expand... vivyo hivyo, Big lights, Big sounds Antivirus with No Apology inaendelea
babu M JF-Expert Member Mar 4, 2010 5,221 3,168 Dec 16, 2011 #6 tarehe 18/19 nitakuwa Arusha lazima niudhurie kumwunga Sugu mkono
I Ismaily JF-Expert Member Jun 19, 2011 356 56 Dec 16, 2011 #7 Ebwana pamoja Anti virus karibuni sana Arusha tunawasubiri kwa hamu,tulimisi sana mikuno ya ajabu kama nipo mikononi mwa polisi afande! Big up MB Sugu.
Ebwana pamoja Anti virus karibuni sana Arusha tunawasubiri kwa hamu,tulimisi sana mikuno ya ajabu kama nipo mikononi mwa polisi afande! Big up MB Sugu.
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,356 3,232 Dec 17, 2011 #9 Ng'wana Sweke said: Kaeni mkao wa kula wana A town Source ni Sugu mwenyewe ndani ya taarifa ya habari chanel Ten Click to expand... Mkubwa! Atatua lini? Hapa tunakuwa naye LIVE bila chenga! Tuombe Uzima tu! Tupe ratiba Mkuu kama ulivyopata!
Ng'wana Sweke said: Kaeni mkao wa kula wana A town Source ni Sugu mwenyewe ndani ya taarifa ya habari chanel Ten Click to expand... Mkubwa! Atatua lini? Hapa tunakuwa naye LIVE bila chenga! Tuombe Uzima tu! Tupe ratiba Mkuu kama ulivyopata!
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,356 3,232 Dec 17, 2011 #10 Daudi mchambuzi said: Click to expand... Mkubwa! Ndio tuseme dogo kachafukwa na roho? Kisa kasikia ujio wa Sugu? Mmmmhh! Humu ndani kuna mambo wajamen!
Daudi mchambuzi said: Click to expand... Mkubwa! Ndio tuseme dogo kachafukwa na roho? Kisa kasikia ujio wa Sugu? Mmmmhh! Humu ndani kuna mambo wajamen!
matumbo JF-Expert Member Jul 9, 2011 7,225 3,944 Dec 17, 2011 #11 Daudi mchambuzi said: Click to expand... ha ha ha ha!yani Ruge kakalia poti...
I-NGOSHA JF-Expert Member Nov 7, 2011 496 182 Dec 18, 2011 #12 Daudi mchambuzi said: Click to expand... Ruge mweupe heh-heh- mweupe!!