Mimi nashauri aliye kuwa mkuu wa mkoa wa Dar mzee Meck Sadiki, au aliye kuwa mkuu wa wilaya ya Ilala Mzee Mushi ambae sasa yuko Babati mmoja wao awe RC Dar. Hawa wana uzowefu wa kutosha na lile jiji.
Mwanri atapeleka yale masifa yake ya bungeni.
Mimi nashauri aliye kuwa mkuu wa mkoa wa Dar mzee Meck Sadiki, au aliye kuwa mkuu wa wilaya ya Ilala Mzee Mushi ambae sasa yuko Babati mmoja wao awe RC Dar. Hawa wana uzowefu wa kutosha na lile jiji.
Mwanri atapeleka yale masifa yake ya bungeni.
Mimi nashauri aliye kuwa mkuu wa mkoa wa Dar mzee Meck Sadiki, au aliye kuwa mkuu wa wilaya ya Ilala Mzee Mushi ambae sasa yuko Babati mmoja wao awe RC Dar. Hawa wana uzowefu wa kutosha na lile jiji.
Mwanri atapeleka yale masifa yake ya bungeni.