Anthony Diallo unamjua huyu?

Nyirabu hakufia Marekani- WEWE NI MUONGO
Huwezi kukiri kuua mtu halafu ukashindwa kueleza alikufaje

Nyirabu afariki dunia


GAVANA wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Charles Nyirabu, amefariki dunia. Habari zilizopatikana Dar es Salaam jana, zilisema Bw. Nyirabu ambaye alikuwa Gavana BoT kuanzia mwaka 1974 hadi mwaka 1989, alifariki dunia jana katika hospitali moja nchini Afrika Kusini. Mwili wa marehemu Nyirabu kwa
 
Kumbe alikua Nesi,

Huo u dokta kaupata lini??

Au nisawa na Prof. Maji marefu??
 
Sasa nimekuelewa ,

Utajiri wake ni wa dhuluma.

Asante sana mleta mada.
 
Ilikuwa mambo ya maabara mkuu
 
Tupakulie Mkuu tumekaa mkao wa kula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…