Huyu jamaa sijui ana ban ya moderator au ya wife mda mrefu haonekan jukwaa hili
Atakuwa katingwa na shughuli.Hivi bado hajawa msemaji wa timu X kweli au?
Braza Chipolopolo sentensi yako imegawanyika katika sehemu 2 nusu umeongea la maana nusu umeongea kama yule Msemaji wa team Y yenye jina linaloanza na herufi "S".
Ki'ukweli kabisa majukumu haya mapya niliyoyaanza mwishoni mwa mwaka jana yananibana sana kiasi kwamba kupata muda wa kujumuika na Wadau huku kila siku inakuwa ngumu sana...hata hivyo tupo pamoja sana
Mkuu Anselm kwa hakika tume kumiss sana, popote ulipo tafadhali weka hata post moja tu tujue kama tupo wote. Pamoja nawe pia kuna mtani wetu mpendwa Saint Ivuga naye haonekani. Mandieta aliathirika na jina lileee, la timu iliyoiambukiza SSC Kirusi Cha Kufungwa (KCK) ambacho ni hatari kuliko VVU. We miss you all.
Anselm: Umenifanya nicheke mkuu. Nakutakia kazi njema...hapo mtaa wa J sawa na jina la kilabu chetu Y!Braza Chipolopolo sentensi yako imegawanyika katika sehemu 2 nusu umeongea la maana nusu umeongea kama yule Msemaji wa team Y yenye jina linaloanza na herufi "S".
Ki'ukweli kabisa majukumu haya mapya niliyoyaanza mwishoni mwa mwaka jana yananibana sana kiasi kwamba kupata muda wa kujumuika na Wadau huku kila siku inakuwa ngumu sana...hata hivyo tupo pamoja sana
Mkuu umesomeka, tupo pamoja. Nawe Saint Ivuga jitokeze, leo Simba anachezea LBL la Toto Africans.
Braza Chipolopolo sentensi yako imegawanyika katika sehemu 2 nusu umeongea la maana nusu umeongea kama yule Msemaji wa team Y yenye jina linaloanza na herufi "S".
Ki'ukweli kabisa majukumu haya mapya niliyoyaanza mwishoni mwa mwaka jana yananibana sana kiasi kwamba kupata muda wa kujumuika na Wadau huku kila siku inakuwa ngumu sana...hata hivyo tupo pamoja sana