Ukweli huu kuhusu Roma unaihusu CCM pia. Kwa ukali huu wa maisha, ukata na kushindwa kwa serikali, inatengeneza jeshi kubwa dhidi ya watawala. Kilichoitokea Roma katika miaka 1,300 ndicho ninachokiona ndani ya miaka 50 ya CCM. Je, huko tunakoelekea yupo anayeweza kuinusuru?