MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,050
Haaaaa mkuu Labda ila wakuu wa shule wa mkoa wangu nawajua wote
@Aspirin Mkuu wa Kitengo katelekeza Majukumu yake..Kamkague utaleta feedback naona mkuu wa kitengo cha ukaguzi hayupo. Ila hili file linaonekana familiar
kuna sehemu umezitoa hizo picha...mwenye picha original ninamfaham na sio mbongo.Nimeshaweka picha
Njoo pm tuongee.
Siwezi.
Karibu Sana boss lady, Kabla sijaleta tongozo Langu huko PM tutajie Kwanza ID yako ya zamani ili tuliokutongoza tujue Kabisa kuwa tunaenda kufanya Paper two.
PM ndo nini?
Inawezekana mkuu ila naimani nitamjua tu kama yupo chini ya idara yanguinawezekana unawajua wa analogy! hawa wa mwendokasi ngumu kuwaelewa
Haaaaa kwanini mkuuAntonio naona unatekeleza ufundi wa kocha wako simeon
Soma threadPrivate Message "PM".
Umeolewa lakini?
Siwezi.
Halafu huku ukaja kukana kuwa huijui PM.PM ndo nini?
Mbinu unazotumia za A. Madrid cha kocha wqko kumnasa huyu kigoliHaaaaa kwanini mkuu
Daa Husna sasa mbona umetuteka hivi kirahisi bila nyavu jamanSoma thread
Sawa mwalimuSoma thread
mbona una sura nyingi sana shosti?Nimeshaweka picha
Inawezekana mkuu ila naimani nitamjua tu kama yupo chini ya idara yangu
mbona una sura nyingi sana shosti?
Headmistress huyu? Ni bora Magufuli aendelee tu kukazia "wazazi" wasirudi mashuleni maana watapigwa vibendi tena!