RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,524
Mamndenyi, tulia dada yangu bahati haziji mara mbili.Hela hizi zitaleta shida
Mamndenyi, tulia dada yangu bahati haziji mara mbili.Hela hizi zitaleta shida
Marhaba, jamboooChamooo
Halafu anasema "Another Bosslady...", nadhani nahitaji kujua Boss-ladies wengine wa humu.
Wadada wote humu ni bossylady kwenye forums zao ndo maana kajiwahi nae yeye aonekanepo
JamboMarhaba, jambooo
Wewe ni Bosslady kwenye jukwaa gani?
Sio jukwaa bali sekta ya picha picha so popote natupia tu,sina jukwaa rasmi
Mish yew too aunt. Naona mnamkaribisha bossladyJambo
Michi wewe chana

Teh Yani sijawahi kucheka jamani. Nimekumbuka Ulweso alisema akisikia tu ex hubby anaumwa, atakimbilia Mozambique uuuuuuhHahaaa!, kile kijiwe kilikuwa raha sana, pamoja na mafundisho mubashara!