Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,047
Hahahah unaguna nini bamdogo tena
Hahahah unaguna nini bamdogo tena
Alfred hujalazimishwa kuniamini...mliomba picha nimeweka. Mengine muobe mkeo





HahahaHivi shemeji unajua kwenye Galer sina picha yako tu.... fanya mambo bwana hapa hapa
Huhuuuukuna sehemu umezitoa hizo picha...mwenye picha original ninamfaham na sio mbongo.
Mtumie tuHahaha
Mie simoo
Nipooo mwalimu
Real talk man.. After two/three years this platform will look like Facebook and Instagram.Ile dhana ya kuwa unknownymous hapa JF inakufa polepole...
Huo utani sipoNipooo mwalimu
Nishakutumia yangu bamdogo ninange sasa oooh umefanana na babu yako.me sitaki jamaanHuo utani sipo
Hivi kuna mtu aturushiwa picha na mtu halafu amnange? Kwangu hata kama mtu anasura kama anapiga chafya siwezi mwambia na kamwe hawezi kujua navyomchukulia.Nishakutumia yangu bamdogo ninange sasa oooh umefanana na babu yako.me sitaki jamaan
Hivi kuna mtu aturushiwa picha na mtu halafu amnange? Kwangu hata kama mtu anasura kama anapiga chafya siwezi mwambia na kamwe hawezi kujua navyomchukulia.
bamdogo we ni chizi ujueIla ni kuku asiye na kamba mguuniWalimu mkuje kumsalimia mwenzenu humu sasa...
Karibu mwalimu, karibu boss, karibu shost.....
