Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Mkuu mi naona wanaigiza tu kule hakuna kitu kabisa!!Sasa huo ulikuwa mchango wa bajeti ya waziri mkuu au mipasho ya kuelekea uchaguzi, Mama alikuwa off point hapa, ila mwaka huu hata watoto watapata shikamoo kutoka kwa wazee.:hungry: