INGENJA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 4,990
- 4,255
Naskia wale majamaa walio mteka mitaa ya gairo kama kumbukumbu zangu ziko sawa kipindi cha kampeni za kumtafuta ataepeperusha bendera ya uraisi kupitia ccm kwa mwaka 2005,waliramba zile hela tena ndo za EPA sasa alafu mama wakampiga mande hadi wakakata shanga