mgoloko
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 4,806
- 3,996
Mkuu sijui yule babu kaona nn pale wakati kijana yupo mafichoni anajipigia kwa raha zakeHata Manzese alikwa na danguro kauza sana wasichana pale.
Mkuu sijui yule babu kaona nn pale wakati kijana yupo mafichoni anajipigia kwa raha zakeHata Manzese alikwa na danguro kauza sana wasichana pale.
Huyu mama anatakiwa kupimwa akili.daaaaah lakini sishangai maana akili za viongozi wengi wa ccm zipo hivi.naanza kupata shida sana na aina ya elimu walizopata hawa viongozi wa ccm maana hata maprof na maPhD walioko ccm wana mawazo mgando kama ya huyu mama.sioni tofauti zao. naanza kuamini kwamba ccm ina madarasa yake maalum ambayo mtu yeyote akitoka huko atokako akiingia ccm anasafishwa knowledge yote aliyokuwa nayo kichwani anabaki mweupe halafu anaingia sasa madarasa maalum ya ccm anajazwa matope upya ambayo atakuwa anayatumia kufikiri wakati akiwa ccm.nikiwaangalia madakari na maprof wote waliotoka kwenye taaluma zao wakaenda CCM hadi nawaonea huruma maana woooooote sasa hivi wanaongea na kufanya matendo sawa na ya akina KIBAJAJI, MUSUKUMA, MAJI MAREFU(R.I.P),POLEPOLE etc etc na hao wapiga domo eti ndio mabosi wao na wameshakilia akili kabisaView attachment 865905
Mbunge wa Kuteuliwa, Anne Kilango Malecela, akina kwenye mkutano wa kampeni Kata ya Machame Uroki, Wilaya ni Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, amesema CHADEMA hakitakaa kishike Dola katika Nchi hii kutokana na mfumo wake wa utawala kuwa mbovu.
Alisema anashangazwa na Mkoa huo (Kilimanjaro) kuwa ndiyo Pemba ya Tanzania Bara, akisema umekuwa Mkoa wa Upinzani na kuuliza wanapata faida gani?
View attachment 865904
Swali zuri sanaKwani Dodoma pwani wamepata faida gani
Bora kuzaliwa mende ulaya kuliko kuwa na akili za namna hii.. Whf?
Bora kuzaliwa mende ulaya kuliko kuwa na akili za namna hii.. Whf?
Mbona zipo sehemu nyingi zinatawaliwa na CCM lakini hakuna maendeleo kama Moshi kwenye upinzani mwingi, huyo Mama Le mutuz ni kilaza mjinga hajui kuwa maendeleo ni pesa za walipa kodi wa Kilimanjaro? Kama wataanza kuwakomoa Wapinzani kutopeleka maendeleo makusudi watambue kuwa huo ni wizi wa pesa za wana Kilimanjaro, ni haki ya kupelekwa maendeleo Kilimanjaro wala si hisani ya CCM, huyo mama atambue kuwa watanzania si wajinga wanajua kuwa kodi zao hazitumiki kupeleka maendeleo eneo husika bali zinatumika kudhoofisha chadema na upinzani kwa ujumla.View attachment 865905
Mbunge wa Kuteuliwa, Anne Kilango Malecela, akina kwenye mkutano wa kampeni Kata ya Machame Uroki, Wilaya ni Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, amesema CHADEMA hakitakaa kishike Dola katika Nchi hii kutokana na mfumo wake wa utawala kuwa mbovu.
Alisema anashangazwa na Mkoa huo (Kilimanjaro) kuwa ndiyo Pemba ya Tanzania Bara, akisema umekuwa Mkoa wa Upinzani na kuuliza wanapata faida gani?
View attachment 865904
Kwanza ajue kama si uchakachuaji leo hii CCM wangekuwa ni chama cha upinzani, chadema wana uwezo wa kuchukua Dola lakini CCM wanawahujumu sana na kama haitoshi huwapora ushindi kila chaguzi kama walivyopanga kufanya huko Hai, Ukonga na kwingineko.Binafsi naona huyu mama kaongea pumba tupu,
Sioni ushirikiano kati ya suala LA chadema kushika dola na Mkoa wa Kilimanjaro.
In short;
Amemropoka
Dola ni utawala wa CCM unaopora ushindi toka vyama vya upinzani!
!
Dola Za Nini Wakati Shilingi Zipo?
Bora wadai Nchi yao wapate Uhuru wao na kuondokana na utawala wa CCM wa kupeleka maendeleo kwa upendelea sehemu za CCM pekeekauli kama hizi ndio zinafanya wapemba wadai nchi yao
Mama na Mtoto wote ni Vilaza wa kutupwaMama yake lemutuz anaakili kama za mwanaye
Aiseee unakunywa kinywaji gani nitalipiadah unasikitisha sana, umasikini huu wa watanzania na matatizo lukuki waliyokuwa nayo inawezekana yamesababishwa na Chadema toka 1961. Sijui umri wako ila kwa ulichokiandika basi kizazi chako hakina budi kusikitika na kulia, Adui wa Tanzania ni CCM hivyo kwa yeyote mwenye akili timamu hawezi kupoteza muda kupambana na CDM bali atautumia muda wake vizuri kupambana na CCM ili ndugu zake walio kwenye lindi la umasikini waweze kukombolewa..
Viwanda na makao makuuKwani Dodoma pwani wamepata faida gani