Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,809
- 3,374
Kumbe wewe ni Mangi?Hicho kikao ni BATILI mwenyekiti Wa chama yupo ofisini kwetu Kilimanjaro.
Kumbe wewe ni Mangi?Hicho kikao ni BATILI mwenyekiti Wa chama yupo ofisini kwetu Kilimanjaro.
Heshima kwenu wakuu,
Kutoka Makao Makuu ya ACT Wazalendo
Leo kuna mkutano wa Chama cha Saisa cha Tanzania cha ACT Wazalendo na Waandishi wa habari.
Leo nmefanikiwa kufika eneo la tukio, hivyo ntawaletea Updates ya kile kitakachojiri. Mkutano unaanza saa nane kamili.
Karibuni.
View attachment 520729
=======
UPDATES;
=>
Hakika dhambi na laana ya usaliti ishaanza kuwala wasaliti mchana kweupee pe,tulisha sema awali ACT ni CCM B.Leo CCM A na viongozi wao wameshindwa kuvunga wanaumbuka waziwazi.
Hakika hapa ndiyo utaamini ya kuwa Mungu yupo na UHAI, angalia Le Propese le TUMBO anavyoteseka naye eti M/Kiti wa M/Kiti wa vyama vya siasa le Mutungi le wasaliti.
Angalia Baby Josephine laana ilivyo mfanya hadi leo anaficha uso wake kuogopa na kuona aibu yakuwa dunia inamzomea.
My Take: Huu ni mwanzo tu mengi yanakuja....zaidi Le Goli la Mkono le Nape...na bado..
Tanzania Hakuna Upinzan Wa Kweri Asilimi kubwa ni Waongo Tuu
Kiongozi naye yupo safarini.Kwani hicho chama kina mwenyekiti tu.
Hapohapo ndipo penye kiwanda cha kuzalisha viongozi na wabunge wanaotema cheche zilizojaa madini siyo Kama ofisi za Lumumba na Chamwino zilizopambwa kwa nakshi lakini kizazi chake ni cha makapi wanaotuingiza kwenye mikataba mibovu.Bavicha bwana...
Wanasahau pale ufipa jengo kama stoo ya mkaa