BOT act 2006 - Ipo bubu, sijaona mahali inapoeleza ni sarafu gani inatakiwa kutumika hapa nchini. Nadhani ni wakati muafaka kwa wabunge wetu kulifanyia kazi.
BOT act 2006 - Ipo bubu, sijaona mahali inapoeleza ni sarafu gani inatakiwa kutumika hapa nchini. Nadhani ni wakati muafaka kwa wabunge wetu kulifanyia kazi.
Nashukuru mdau kwa link hii, ila tayari niko kwenye maumivu makali. Muwekezaji wa nnje anatulipisha wazawa bill za Tanesco na Dawasco kwa dollar utafikiri tuko Washngton DC bwana!