Ankara(Bill) ya Majitaka ni wizi uliohalalishwa na nani?

maramia

JF-Expert Member
Jul 17, 2015
2,030
1,344
Tunalipia bill ya matumizi ya maji kupitia ankara ya matumizi inayosomwa kwenye mita za idara ya maji.

Eti gharama ya matumizi ya maji unayolipa ndiyo gharama ya maji taka unayolipa. Hivi katika akili ya kawaida hapa hatuibiwi kweli?

Fikiria kwa mfano kwa mwezi umetumia maji ya sh 34,600 na baada ya kuyatumia yakageuka kuwa maji taka, unayalipia tena 34,600 maji hayo hayo wakati inawezekana baada ya matumizi hata nusu yake haiingii tena kwenye mzunguko wa maji taka.

Kwa mtazamo wangu inawezekana huo ulikuwa ni moja ya wizi uliokuwa ukifanywa na serikali iliyooza ya bw Kikwete.
Chunguzeni.
 
we nyamaza nenda ukalipie hizo bili , hiyo system iko duniani kote kuchaji maji safi na taka.SUALA la kujiuliza je kuna miferaji ya maji taka?
 
we nyamaza nenda ukalipie hizo bili , hiyo system iko duniani kote kuchaji maji safi na taka.SUALA la kujiuliza je kuna miferaji ya maji taka?
Jamii forum ni shida umenifanya nicheke bila sababu atiii
 
Kwa DAWASCO kitendo cha kutuma bill kwenye simu isiyoanisha kiasi cha maji yaliyotumika ni wizi wa mchana kweupe. Hizo bill zirekebishwe na ziweze kuto taarifa kamili pamoja na "meter reading" ya sasa na ya jana ili mteja ajue kiasi cha maji aliyotumia. Kiwango cha maji taka kulingana na matumizi ya maji kitakuwa sahihi kama kweli mteja ametumia kiasi hicho cha maji.

Naamini wateja wengi meter zao za maji hazijasomwa muda mrefu, DAWASCO wanafanya kukadiria ndiyo maana hawana uthibitisho wa kiwango cha maji anayotumia kila mteja
 
Tunalipia bill ya matumizi ya maji kupitia ankara ya matumizi inayosomwa kwenye mita za idara ya maji.

Eti gharama ya matumizi ya maji unayolipa ndiyo gharama ya maji taka unayolipa. Hivi katika akili ya kawaida hapa hatuibiwi kweli?

Fikiria kwa mfano kwa mwezi umetumia maji ya sh 34,600 na baada ya kuyatumia yakageuka kuwa maji taka, unayalipia tena 34,600 maji hayo hayo wakati inawezekana baada ya matumizi hata nusu yake haiingii tena kwenye mzunguko wa maji taka.

Kwa mtazamo wangu inawezekana huo ulikuwa ni moja ya wizi uliokuwa ukifanywa na serikali iliyooza ya bw Kikwete.
Chunguzeni.

Bili haipo hivo..mi natumia pia dawasco..kama umetumia lita 6000 kwa mwezi wao hutoa pasenti fulani ndio kuwa maji taka na siyo yote yanakuwa maji taka.. itakuwa kuna makosa katika bili yako fika ofisi zao dawasco
 
Kwa kawaida maji taka ni asilimia sabini na tano ya maji safi. Hivyo bili ya maji taka kukatwa sawsawa na bili ya maji safi hiyo si sawa.
 
Kwa DAWASCO kitendo cha kutuma bill kwenye simu isiyoanisha kiasi cha maji yaliyotumika ni wizi wa mchana kweupe. Hizo bill zirekebishwe na ziweze kuto taarifa kamili pamoja na "meter reading" ya sasa na ya jana ili mteja ajue kiasi cha maji aliyotumia. Kiwango cha maji taka kulingana na matumizi ya maji kitakuwa sahihi kama kweli mteja ametumia kiasi hicho cha maji.

Naamini wateja wengi meter zao za maji hazijasomwa muda mrefu, DAWASCO wanafanya kukadiria ndiyo maana hawana uthibitisho wa kiwango cha maji anayotumia kila mteja

Haiwezi kuwa sawa kwa sababu yapo wanayokunywa haya huishia chooni kama wanaghramia kunyonya majitaka ya chooni nisawa lakini hata hayo ya tu nayo kunywa baadhi hupotea kwa jasho au unapopumua naukiangalia Ni kiasi kikubwa tu
 
Dawasco tumeni bill inayoonyesha matumizi halali.Mita INA faida gani kama mwakisia mkiwa ofisini.halafu bila soni mwatuma huyo bill fake tarehe tano ya mwezi husika. Maana yake nini.?
 
Dawasco tumeni bill inayoonyesha matumizi halali.Mita INA faida gani kama mwakisia mkiwa ofisini.halafu bila soni mwatuma huyo bill fake tarehe tano ya mwezi husika. Maana yake nini.?

Waziri wa maji, DAWASCO ni jipu lingine, litumbuliwe mapema kabla halijasambaa kwenye wizara zingine likaambukiza
 
Back
Top Bottom