Anguko la watetezi laja

Anguko la watetezi laja

Kuwabambikia kesi watu wenye mawazo mbadala,
Tumeshuhudia baadhi ya wadau kutoka mitandao ya kijamii mfano Jamii forums waliokuwa wakipigana kufa na kupona kuitetea serikali ya awamu ya tano wakianza kutundika daluga.

Watetezi hao waliojinasibu kuwa ni Kijani lialia huwaambii kitu kuhusu bwana yule na serikali yake sasa akili zimeanza kuwarudi huku tayari wakiwa hawawezi kumdhibiti tena bwana yule.

Sababu kubwa za hawa watetezi wa yule bwana kutundika daluga ni nyingi kutokana na trend ya hali halisi ya mambo mapya yanayolipuka kila siku ambayo mtanzania yeyote hawezi achwa kuguswa na jambo lolote.

Hizi ni sababu chache kwanini wengi watachomoka kwa kasi kulipisha kundi linalotumika kutetea ushindi kwa kutumia virungu na moshi wa kuwasha.

1. Sheria mpya ya mafao ya wastaafu
Hapa sio siri tutegemee watu wengi kama sio kujionyesha waziwazi basi watakaa kimya, hakuna ubishi kuwa chama cha bwana mkubwa kinapata sapoti kutoka kwa watu waliozaliwa muda mrefu yaani 1970 kurudi chini ambao wengi wao ndo wapo katika muda/ wanakaribia kustaafu sasa hapa wameguswa na kugundua kuwa walichokua wanakitetea kimewatia umaskini.

2. Wageni kupewa nguvu katika chama
Hakuna kitu kinauma kama kumtusi mtu mtandaoni baada ya muda mfupi anaapishwa na kuwa Naibu Waziri inatia hasira maana inakufanya uonekane kigeugeu maana kutoka kumuita mtu "anayetumika na mabeberu" hadi kumuita muheshimiwa.
Hii inawapa simanzi wadau wengi mtandaoni.

3. Songesha point nyingine hapo chini.........
.......
.......
 
Akina Barbarosa, Kipara Kipya, Cocochanel, Britanica,Lakisipesa na wenzao tayari wameshakiri kuchoka.

Bado kuna maroboti matatu dada ISIS, dada Dokta Love na Mgonjwa Mtambuka wao dawa ndio inaanza kupenya kwenye mfupa.
Huyu kipara kipya juzi kaanza kulia lia baada ya sheria ya mafao kupita.

Wataisha tu ni swala la muda
 
Akina Barbarosa, Kipara Kipya, Cocochanel, Britanica,Lakisipesa na wenzao tayari wameshakiri kuchoka.

Bado kuna maroboti matatu dada ISIS, dada Dokta Love na Mgonjwa Mtambuka wao dawa ndio inaanza kupenya kwenye mfupa.


😂😂😂😂rafiki mie nakufa huku..kumbe@dk love ni mdada?aisee
 
WARUMI 13;

1Kila mtu anapaswa kuwatii wenye mamlaka katika serikali; maana mamlaka yote hutoka kwa Mungu; nao wenye mamlaka wamewekwa na Mungu. 2Anayepinga mamlaka ya viongozi anapinga agizo la Mungu; nao wafanyao hivyo wanajiletea hukumu wenyewe, 3Maana, watawala hawasababishi hofu kwa watu wema, ila kwa watu wabaya. Basi, wataka usimwogope mtu mwenye mamlaka? Fanya mema naye atakusifu; 4maana yeye ni mtumishi wa Mungu anayefanya kazi kwa faida yako. Lakini ukifanya mabaya, basi, huna budi kumwogopa, maana anao kweli uwezo wa kutoa adhabu. Yeye ni mtumishi wa Mungu na huitekeleza ghadhabu ya Mungu kwao watendao maovu. 5Kwa hiyo ni lazima kuwatii wenye mamlaka, si tu kwa sababu ya kuogopa ghadhabu ya Mungu, bali pia kwa sababu dhamiri inadai hivyo. 6Kwa sababu hiyohiyo ninyi hulipa kodi; maana viongozi hao humtumikia Mungu ikiwa wanatimiza wajibu wao. 7Mpeni kila mtu haki yake; mtu wa ushuru, ushuru; wa kodi, kodi; na astahiliye heshima, heshima.
8Msiwe na deni kwa mtu yeyote, isipokuwa tu deni la kupendana. Ampendaye jirani yake ameitekeleza Sheria. 9Maana, amri hizi: "Usizini; Usiue; Usitamani;" na nyingine zote, zimo katika amri hii moja: "Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe." 10Ampendaye jirani yake hamtendei vibaya. Basi, kwa mapendo Sheria yote hutimizwa.

11Zaidi ya hayo, ninyi mnajua tumo katika wakati gani: sasa ndio wakati wa kuamka usingizini; naam, wokovu wetu u karibu zaidi sasa kuliko wakati ule tulipoanza kuamini. 12Usiku unakwisha na mchana unakaribia. Basi, tutupilie mbali mambo yote ya giza, tukajitwalie silaha za mwanga. 13Mwenendo wetu uwe wa adabu kama inavyostahili wakati wa mchana; tusiwe na ulafi na ulevi, uchafu na uasherati, ugomvi na wivu. 14Bwana Yesu Kristo awe vazi lenu; msishughulikie tena tamaa zenu za maumbile na kuziridhisha.
Ulipaswa uishi chini ya utawala wa Adolf Hitler,Iddi Amin,Mugabe,na wengine wa aina hii uone kama ungeleta haya maandiko.
 
Mtanyooka tu!
Utanyooka wewe unayewaquote warumi kwa walichoandikiwa wao ambapo mazingira ya wakati ule ni tofauti kabisa na ya sasa! Hao waroma wenyewe demokrasia iliwashinda na ndio maana kina musolin walitawala kwa mkono wa chuma na wakatwezwa vilevile! Na kwa andiko uliloweka hapa lilihamasisha udikteta kwa tawala za kidunia zilizozungumziwa mle hasa kwa wale madikteta ili kuwarubuni watawaliwa juu ya tawala za Mungu ambazo siyo za aina unayotaka kuwaaminisha watu. Soma, chambua na linganisha kabla ya kuapply mahali ulipo!
 
WARUMI 13;

1Kila mtu anapaswa kuwatii wenye mamlaka katika serikali; maana mamlaka yote hutoka kwa Mungu; nao wenye mamlaka wamewekwa na Mungu. 2Anayepinga mamlaka ya viongozi anapinga agizo la Mungu; nao wafanyao hivyo wanajiletea hukumu wenyewe, 3Maana, watawala hawasababishi hofu kwa watu wema, ila kwa watu wabaya. Basi, wataka usimwogope mtu mwenye mamlaka? Fanya mema naye atakusifu; 4maana yeye ni mtumishi wa Mungu anayefanya kazi kwa faida yako. Lakini ukifanya mabaya, basi, huna budi kumwogopa, maana anao kweli uwezo wa kutoa adhabu. Yeye ni mtumishi wa Mungu na huitekeleza ghadhabu ya Mungu kwao watendao maovu. 5Kwa hiyo ni lazima kuwatii wenye mamlaka, si tu kwa sababu ya kuogopa ghadhabu ya Mungu, bali pia kwa sababu dhamiri inadai hivyo. 6Kwa sababu hiyohiyo ninyi hulipa kodi; maana viongozi hao humtumikia Mungu ikiwa wanatimiza wajibu wao. 7Mpeni kila mtu haki yake; mtu wa ushuru, ushuru; wa kodi, kodi; na astahiliye heshima, heshima.
8Msiwe na deni kwa mtu yeyote, isipokuwa tu deni la kupendana. Ampendaye jirani yake ameitekeleza Sheria. 9Maana, amri hizi: "Usizini; Usiue; Usitamani;" na nyingine zote, zimo katika amri hii moja: "Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe." 10Ampendaye jirani yake hamtendei vibaya. Basi, kwa mapendo Sheria yote hutimizwa.

11Zaidi ya hayo, ninyi mnajua tumo katika wakati gani: sasa ndio wakati wa kuamka usingizini; naam, wokovu wetu u karibu zaidi sasa kuliko wakati ule tulipoanza kuamini. 12Usiku unakwisha na mchana unakaribia. Basi, tutupilie mbali mambo yote ya giza, tukajitwalie silaha za mwanga. 13Mwenendo wetu uwe wa adabu kama inavyostahili wakati wa mchana; tusiwe na ulafi na ulevi, uchafu na uasherati, ugomvi na wivu. 14Bwana Yesu Kristo awe vazi lenu; msishughulikie tena tamaa zenu za maumbile na kuziridhisha.
Kumbuka hii mistari ndo ilitumiwa na wakoloni kutawala Africa. Upo hapo
 
Kwani sheria mpya ya mafao si inaweza rudi bungeni..kwani ndio msaafu kwamba haibadiliki?? Kama mnalilia kubadilishwa katiba itashindikana sheria ya mafao..?
Hao wageni waliokuwa wanatukana serikali wamepewa nafasi purposely kuonyesha watanzania kuwa mambo ambayo upinzani huyapigia kelele je wakipewa nafasi wanaweza..kwa maana nyingine kushindwa kwa hawa jamaa ni kushindwa kwa upinzani..
Irudi ikafanye nini,kwani walioianzisha hawakuwa na akili za kuweza kutafakari madhara ya hiyo Sheria kwa watanzania? Na mamlaka ya uteuzi imekwambia kuwa kuwateua wapinzani ni kupima Uwezo wao kiutendaji ndani ya serikali? Viongozi wa nchi hii wanatakiwa kufahamu kuwa,Rafiki mwema ni yule anayewakosoa na wanaosifia. Viongozi mmechangulia ili mtendee watanzania mema,hiyo hakuna haja ya kupenda sifa kwakuwa kabla ya kupewa uongozi nia zenu ni kutenda mema. Ifahamike kuwa kuwatendea mema watanzania siyo miujiza,kuwa hata fahamu zenu zijua kuwa mtaka uongozi ili mtende mema, hatuja haja ya kuwasifia kwa hayo. Mkifanya miujiza tutawasifu kwa kuwa miujiza huna pasipotemea. KUKOSOLEWA NI SEHEMU YA UTU
 
WARUMI 13;

1Kila mtu anapaswa kuwatii wenye mamlaka katika serikali; maana mamlaka yote hutoka kwa Mungu; nao wenye mamlaka wamewekwa na Mungu. 2Anayepinga mamlaka ya viongozi anapinga agizo la Mungu; nao wafanyao hivyo wanajiletea hukumu wenyewe, 3Maana, watawala hawasababishi hofu kwa watu wema, ila kwa watu wabaya. Basi, wataka usimwogope mtu mwenye mamlaka? Fanya mema naye atakusifu; 4maana yeye ni mtumishi wa Mungu anayefanya kazi kwa faida yako. Lakini ukifanya mabaya, basi, huna budi kumwogopa, maana anao kweli uwezo wa kutoa adhabu. Yeye ni mtumishi wa Mungu na huitekeleza ghadhabu ya Mungu kwao watendao maovu. 5Kwa hiyo ni lazima kuwatii wenye mamlaka, si tu kwa sababu ya kuogopa ghadhabu ya Mungu, bali pia kwa sababu dhamiri inadai hivyo. 6Kwa sababu hiyohiyo ninyi hulipa kodi; maana viongozi hao humtumikia Mungu ikiwa wanatimiza wajibu wao. 7Mpeni kila mtu haki yake; mtu wa ushuru, ushuru; wa kodi, kodi; na astahiliye heshima, heshima.
8Msiwe na deni kwa mtu yeyote, isipokuwa tu deni la kupendana. Ampendaye jirani yake ameitekeleza Sheria. 9Maana, amri hizi: "Usizini; Usiue; Usitamani;" na nyingine zote, zimo katika amri hii moja: "Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe." 10Ampendaye jirani yake hamtendei vibaya. Basi, kwa mapendo Sheria yote hutimizwa.

11Zaidi ya hayo, ninyi mnajua tumo katika wakati gani: sasa ndio wakati wa kuamka usingizini; naam, wokovu wetu u karibu zaidi sasa kuliko wakati ule tulipoanza kuamini. 12Usiku unakwisha na mchana unakaribia. Basi, tutupilie mbali mambo yote ya giza, tukajitwalie silaha za mwanga. 13Mwenendo wetu uwe wa adabu kama inavyostahili wakati wa mchana; tusiwe na ulafi na ulevi, uchafu na uasherati, ugomvi na wivu. 14Bwana Yesu Kristo awe vazi lenu; msishughulikie tena tamaa zenu za maumbile na kuziridhisha.
Lakini sio mamlaka isiyotaka tume huru,polisi,jeshi lao. Bibilia haisemi ivyo
 
Hayo uliyonukuu nilitunga mimi na kamati yangu miaka hiyo ili kuwafunga speed governor wananchi la si hivyo dunia ingekuwa uwanja wa mapambano na mateso zaidi ya jehanam. Tulifanya hivo ili kila mtu asitake kutawala ili dunia iwe sehemu salama kiasi ingawa watu wameanza kukengeuka basi na mimi nawaruhusu wakengeuke ili wapaleke ujumbe sehemu zote duniani kwamba watawala si kitu waki wafunga midomo watawaliwa.

Mimi na warumi wenzangu tunakitakia safari njema ya kutundika daluga. Ukweli ni kwamba tuliwacheat tu hahahaha
Idd Ami na madikteta wengine walikuwa mamlaka kutoka juu? nadhani zamani viongozi wa dini ndo walikuwa viongozi wa watu. walikuwa na mamlaka na walitakiwa kutiiwa! leo dini na siasa ni kama moshi na pua
 
Kwani sheria mpya ya mafao si inaweza rudi bungeni..kwani ndio msaafu kwamba haibadiliki?? Kama mnalilia kubadilishwa katiba itashindikana sheria ya mafao..?
Hao wageni waliokuwa wanatukana serikali wamepewa nafasi purposely kuonyesha watanzania kuwa mambo ambayo upinzani huyapigia kelele je wakipewa nafasi wanaweza..kwa maana nyingine kushindwa kwa hawa jamaa ni kushindwa kwa upinzani..
Sheria hii na zote kandamizi,mwisho ni awamu hii, sema tu atujui itaisha lini, ajae atafutilia mbali.
 
WARUMI 13;

1Kila mtu anapaswa kuwatii wenye mamlaka katika serikali; maana mamlaka yote hutoka kwa Mungu; nao wenye mamlaka wamewekwa na Mungu. 2Anayepinga mamlaka ya viongozi anapinga agizo la Mungu; nao wafanyao hivyo wanajiletea hukumu wenyewe, 3Maana, watawala hawasababishi hofu kwa watu wema, ila kwa watu wabaya. Basi, wataka usimwogope mtu mwenye mamlaka? Fanya mema naye atakusifu; 4maana yeye ni mtumishi wa Mungu anayefanya kazi kwa faida yako. Lakini ukifanya mabaya, basi, huna budi kumwogopa, maana anao kweli uwezo wa kutoa adhabu. Yeye ni mtumishi wa Mungu na huitekeleza ghadhabu ya Mungu kwao watendao maovu. 5Kwa hiyo ni lazima kuwatii wenye mamlaka, si tu kwa sababu ya kuogopa ghadhabu ya Mungu, bali pia kwa sababu dhamiri inadai hivyo. 6Kwa sababu hiyohiyo ninyi hulipa kodi; maana viongozi hao humtumikia Mungu ikiwa wanatimiza wajibu wao. 7Mpeni kila mtu haki yake; mtu wa ushuru, ushuru; wa kodi, kodi; na astahiliye heshima, heshima.
8Msiwe na deni kwa mtu yeyote, isipokuwa tu deni la kupendana. Ampendaye jirani yake ameitekeleza Sheria. 9Maana, amri hizi: "Usizini; Usiue; Usitamani;" na nyingine zote, zimo katika amri hii moja: "Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe." 10Ampendaye jirani yake hamtendei vibaya. Basi, kwa mapendo Sheria yote hutimizwa.

11Zaidi ya hayo, ninyi mnajua tumo katika wakati gani: sasa ndio wakati wa kuamka usingizini; naam, wokovu wetu u karibu zaidi sasa kuliko wakati ule tulipoanza kuamini. 12Usiku unakwisha na mchana unakaribia. Basi, tutupilie mbali mambo yote ya giza, tukajitwalie silaha za mwanga. 13Mwenendo wetu uwe wa adabu kama inavyostahili wakati wa mchana; tusiwe na ulafi na ulevi, uchafu na uasherati, ugomvi na wivu. 14Bwana Yesu Kristo awe vazi lenu; msishughulikie tena tamaa zenu za maumbile na kuziridhisha.
hitler, dadaa idi amin, bokasa, yahya jameh, jiwe, mobutu, nk.. kwa hyo hao ni watumishi??
 
Tumeshuhudia baadhi ya wadau kutoka mitandao ya kijamii mfano Jamii forums waliokuwa wakipigana kufa na kupona kuitetea serikali ya awamu ya tano wakianza kutundika daluga.

Watetezi hao waliojinasibu kuwa ni Kijani lialia huwaambii kitu kuhusu bwana yule na serikali yake sasa akili zimeanza kuwarudi huku tayari wakiwa hawawezi kumdhibiti tena bwana yule.

Sababu kubwa za hawa watetezi wa yule bwana kutundika daluga ni nyingi kutokana na trend ya hali halisi ya mambo mapya yanayolipuka kila siku ambayo mtanzania yeyote hawezi achwa kuguswa na jambo lolote.

Hizi ni sababu chache kwanini wengi watachomoka kwa kasi kulipisha kundi linalotumika kutetea ushindi kwa kutumia virungu na moshi wa kuwasha.

1. Sheria mpya ya mafao ya wastaafu
Hapa sio siri tutegemee watu wengi kama sio kujionyesha waziwazi basi watakaa kimya, hakuna ubishi kuwa chama cha bwana mkubwa kinapata sapoti kutoka kwa watu waliozaliwa muda mrefu yaani 1970 kurudi chini ambao wengi wao ndo wapo katika muda/ wanakaribia kustaafu sasa hapa wameguswa na kugundua kuwa walichokua wanakitetea kimewatia umaskini.

2. Wageni kupewa nguvu katika chama
Hakuna kitu kinauma kama kumtusi mtu mtandaoni baada ya muda mfupi anaapishwa na kuwa Naibu Waziri inatia hasira maana inakufanya uonekane kigeugeu maana kutoka kumuita mtu "anayetumika na mabeberu" hadi kumuita muheshimiwa.
Hii inawapa simanzi wadau wengi mtandaoni.

3. Songesha point nyingine hapo chini.........
.......
.......
Usikute I'd zote zinazomtetea ni yeye mwenyewe tu au za mtu mmoja tu.

Mbona huwa zinacomment kwa wakati mmoja zote hao watu kazi yao ni hiyo tu ?
 
Usikute I'd zote zinazomtetea ni yeye mwenyewe tu au za mtu mmoja tu.

Mbona huwa zinacomment kwa wakati mmoja zote hao watu kazi yao ni hiyo tu ?
mkuu kwaiyo bwana yule huwa ana ID za kutosha?
 
Akina Barbarosa, Kipara Kipya, Cocochanel, Britanica,Lakisipesa na wenzao tayari wameshakiri kuchoka.

Bado kuna maroboti matatu dada ISIS, dada Dokta Love na Mgonjwa Mtambuka wao dawa ndio inaanza kupenya kwenye mfupa.
"Chadema watapinga"umemuachaje kiungo mchezeshaji elitwege kwenye list?
 
"Chadema watapinga"umemuachaje kiungo mchezeshaji elitwege kwenye list?
hapo nimesema "na wenzao" hayo majina yao yenyewe ya kichawi kuyakumbuka kwa haraka sio rahisi hao akina jingalao n.k
 
  • Thanks
Reactions: etb
Back
Top Bottom