Anguko la taifa laja

Mtoto akililia wembe mpe, mwacheni yatakayomkuta atakuja simulia vijukuu vyake kama atatoka jela akiwa hai
 

Ninashangaa watu wanasumbua vichwa vyao kwa ajili ya Lowasa wakati wake umesha pita. Akasome historia ya mussolini wa Italia, Italia ilipomshinda walimfanya nini, walimkimbiza kama paka na kumkabidhi kwa watu wake wanaomtaka awawakilishe huko. Ninadhani humu Jf wanaompijia debe ni watoto wake wanasumbua vichwa vya watu wakati watu wanalala njaa, hakuna umeme, wao wanasikia raha wanaposikia baba yao kaenda kazi akirudi mfuko imejaa, lakini sisi tukienda tunashinda kijiweni mpaka jioni tunasubiri umeme ndio watoto watu waweze kusema pole baba. Haina haja ya kujibu thread zake zivunde mpaka ziondoke zenyewe. Wataandika kama watu hawatachangia hawataandika tena kwa sababu wataona wanapoteza muda.
 
Bora EL arudi tu! Kuliko kuwa na administration hopeless kama hii ya JK ambayo haina maamuzi hauijui kipi inasimamia...tuna PM kama hatuma ... ali mradi kila mtu ana sauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…