Ndugu zangu wanawaJF na wasiyo kuwa wanawaJF ambao huwa wanapita humu kwakuperuziiii na kudadisi ASALAAM ALYKHUMUU.
Nimeamua kutoa mtazamo wangu juu ya anguko la TAIFA hili kwa kile ninachokiona kinavyoendelea kwasasa. nimesikitishwa sana na kauli zinazoendelea huku mitaani na maofisini juu ya nani awekiongozi wataifa hili na watu wengi *wa maofisi wamipongeza forum hii kuwa inauwezo wa kumpanga Rais wataifa hili kuliko taasisi yeyote ile ukilinganisha na wnzetu waliyoendelea huwa na taasisi maalum ya kumchagua Rais hata kama wananchi hamumtaki mtamchagua tu kwambinu wanazozitumia kwa ushawishi mkubwa wa hali ya juu.
Hapa kwetu Tanzania hamna mpango huwo ndiyo maana unasikia kila siku tunatengeneza kizazi cha kifisadi, kizazi cha kulipana kisasi na kizazi cha majigambo hili nianguko la taifa kwasasa. ila niendembali zaidi nipale ninapoendelea kusikia watu makini au forum makini kama hii pamoja na uhuru wa maoni au mawazo watu wanao takiwa kutoa eti na kufikiri kwetu kote TUNAWAZISHWA HUMU LOWASSA aje atawale taifa hili, kiukweli tunaanza kumjengea LOWASSA njia ya URAIS bila sisi kujijua kuwa ni watu muhimu sana katika kupanga na kupangua viongozi bora na wasiyo bora.
Naamini kauli hii wengi watanipinga na wengi wataniunga mkono: turudi nyuma uchaguzi uliyopita JF ilichangia kwakiasi kikubwa mno kumpata mgombea URAIS wa CDM na tuliona tulivyochangia kumpata mgombea makini mwenye uwezo mkubwa kuliko aliyeshinda sasa na hata huku AFRICA KUSINI tulipo forum hii inasifika sana kwa hilo. sasa iweje leo hii tuanze kupoteza malengo yetu kwakutaka kuwarudishia madaraka wezi wakuu wataifa hili? kama sikutaka kuliangamiza taifa kwa ushabiki usiyo na tija yeyote ile kwa mwananchi wa kijijini asiyejua kinachoendelea kwasasa ?
Hofu *hii nimeipata leo kupitia humu humu JF nasikia LOWASSA leo alikuwa anachangia hutuba ya waziri mkuu wengi mmemsifu badala ya kuendelea kumkataa kwa maovu yake aliyoyafanyia taifa mmeanza kusahau na wengine kumuonea hata na huruma. hili niaanguko la taifa na JF mtahusika na hukumu hii pamoja na mimi kwa kuwa ni member humu.
HITIMISHO
Tuanndaeni viongozi makini kwa faida ya dada zetu mama zetu watoto wetu waliyopo vijijini ambao nawao siku moja wanatamani kuliongoza taifa hili na anaweza kuwa viongozi bora kuliko kizazi chtu cha sasa. haya ni maoni yangu na wewe unaweza fikri zaidi yangu kwa kulisaidia taifa. MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI JF......
Lowassa akichukua fomu nitampigia kampeni la nguvu.Ndugu zangu wanawaJF na wasiyo kuwa wanawaJF ambao huwa wanapita humu kwakuperuziiii na kudadisi ASALAAM ALYKHUMUU.
Nimeamua kutoa mtazamo wangu juu ya anguko la TAIFA hili kwa kile ninachokiona kinavyoendelea kwasasa. nimesikitishwa sana na kauli zinazoendelea huku mitaani na maofisini juu ya nani awekiongozi wataifa hili na watu wengi *wa maofisi wamipongeza forum hii kuwa inauwezo wa kumpanga Rais wataifa hili kuliko taasisi yeyote ile ukilinganisha na wnzetu waliyoendelea huwa na taasisi maalum ya kumchagua Rais hata kama wananchi hamumtaki mtamchagua tu kwambinu wanazozitumia kwa ushawishi mkubwa wa hali ya juu.
Hapa kwetu Tanzania hamna mpango huwo ndiyo maana unasikia kila siku tunatengeneza kizazi cha kifisadi, kizazi cha kulipana kisasi na kizazi cha majigambo hili nianguko la taifa kwasasa. ila niendembali zaidi nipale ninapoendelea kusikia watu makini au forum makini kama hii pamoja na uhuru wa maoni au mawazo watu wanao takiwa kutoa eti na kufikiri kwetu kote TUNAWAZISHWA HUMU LOWASSA aje atawale taifa hili, kiukweli tunaanza kumjengea LOWASSA njia ya URAIS bila sisi kujijua kuwa ni watu muhimu sana katika kupanga na kupangua viongozi bora na wasiyo bora.
Naamini kauli hii wengi watanipinga na wengi wataniunga mkono: turudi nyuma uchaguzi uliyopita JF ilichangia kwakiasi kikubwa mno kumpata mgombea URAIS wa CDM na tuliona tulivyochangia kumpata mgombea makini mwenye uwezo mkubwa kuliko aliyeshinda sasa na hata huku AFRICA KUSINI tulipo forum hii inasifika sana kwa hilo. sasa iweje leo hii tuanze kupoteza malengo yetu kwakutaka kuwarudishia madaraka wezi wakuu wataifa hili? kama sikutaka kuliangamiza taifa kwa ushabiki usiyo na tija yeyote ile kwa mwananchi wa kijijini asiyejua kinachoendelea kwasasa ?
Hofu *hii nimeipata leo kupitia humu humu JF nasikia LOWASSA leo alikuwa anachangia hutuba ya waziri mkuu wengi mmemsifu badala ya kuendelea kumkataa kwa maovu yake aliyoyafanyia taifa mmeanza kusahau na wengine kumuonea hata na huruma. hili niaanguko la taifa na JF mtahusika na hukumu hii pamoja na mimi kwa kuwa ni member humu.
HITIMISHO
Tuanndaeni viongozi makini kwa faida ya dada zetu mama zetu watoto wetu waliyopo vijijini ambao nawao siku moja wanatamani kuliongoza taifa hili na anaweza kuwa viongozi bora kuliko kizazi chtu cha sasa. haya ni maoni yangu na wewe unaweza fikri zaidi yangu kwa kulisaidia taifa. MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI JF......
Lowassa akichukua fomu nitampigia kampeni la nguvu.
Lowassa akichukua fomu nitampigia kampeni la nguvu.
ndugu yangu jaribuni kuwa nauchungu wataifa hili jamani Sikatai Lowassa alikuwa mtendaji mzuri sana tena sana *ila Kumrudisha Lowassa kwenye madaraka makubwa ni kuliangamiza taifa.
1. lowassa atataka kulipiza kisasi kwakuwa mkuu wa nchi alimtenda vilivyo
2. Lowassa hata kubali demokrasia itawale atawaminya wapinzani na nchi itawaka moto
3.Lowassa hata weza kuliinua taifa kiuchumi
Kwani huyu aliyepo madarakani amefanikiwa kuyafanya haya unayoyasema?kwani huyu aliyepo madarakani siyo fisadi?
huo ni mtazamo wako wewe humtaki wengne tunamhitaji sasa usilazime kile unachokiamini wewe ndo kionekane sahihi
Ndugu never, ujue kila jambo lina sababu. Hili jukwaa anaingia kila mtu. Ni sawa na mtu anayeishi ufukweni akafungulia dirisha ili apate upepo mwanana, badala yake ukaingia upepo na mazagazaga. Kuna wafuasi wa kila mwanasiasa humu
Ndugu zangu wanawaJF na wasiyo kuwa wanawaJF ambao huwa wanapita humu kwakuperuziiii na kudadisi ASALAAM ALYKHUMUU.
Nimeamua kutoa mtazamo wangu juu ya anguko la TAIFA hili kwa kile ninachokiona kinavyoendelea kwasasa. nimesikitishwa sana na kauli zinazoendelea huku mitaani na maofisini juu ya nani awekiongozi wataifa hili na watu wengi *wa maofisi wamipongeza forum hii kuwa inauwezo wa kumpanga Rais wataifa hili kuliko taasisi yeyote ile ukilinganisha na wnzetu waliyoendelea huwa na taasisi maalum ya kumchagua Rais hata kama wananchi hamumtaki mtamchagua tu kwambinu wanazozitumia kwa ushawishi mkubwa wa hali ya juu.
Hapa kwetu Tanzania hamna mpango huwo ndiyo maana unasikia kila siku tunatengeneza kizazi cha kifisadi, kizazi cha kulipana kisasi na kizazi cha majigambo hili nianguko la taifa kwasasa. ila niendembali zaidi nipale ninapoendelea kusikia watu makini au forum makini kama hii pamoja na uhuru wa maoni au mawazo watu wanao takiwa kutoa eti na kufikiri kwetu kote TUNAWAZISHWA HUMU LOWASSA aje atawale taifa hili, kiukweli tunaanza kumjengea LOWASSA njia ya URAIS bila sisi kujijua kuwa ni watu muhimu sana katika kupanga na kupangua viongozi bora na wasiyo bora.
Naamini kauli hii wengi watanipinga na wengi wataniunga mkono: turudi nyuma uchaguzi uliyopita JF ilichangia kwakiasi kikubwa mno kumpata mgombea URAIS wa CDM na tuliona tulivyochangia kumpata mgombea makini mwenye uwezo mkubwa kuliko aliyeshinda sasa na hata huku AFRICA KUSINI tulipo forum hii inasifika sana kwa hilo. sasa iweje leo hii tuanze kupoteza malengo yetu kwakutaka kuwarudishia madaraka wezi wakuu wataifa hili? kama sikutaka kuliangamiza taifa kwa ushabiki usiyo na tija yeyote ile kwa mwananchi wa kijijini asiyejua kinachoendelea kwasasa ?
Hofu *hii nimeipata leo kupitia humu humu JF nasikia LOWASSA leo alikuwa anachangia hutuba ya waziri mkuu wengi mmemsifu badala ya kuendelea kumkataa kwa maovu yake aliyoyafanyia taifa mmeanza kusahau na wengine kumuonea hata na huruma. hili niaanguko la taifa na JF mtahusika na hukumu hii pamoja na mimi kwa kuwa ni member humu.
HITIMISHO
Tuanndaeni viongozi makini kwa faida ya dada zetu mama zetu watoto wetu waliyopo vijijini ambao nawao siku moja wanatamani kuliongoza taifa hili na anaweza kuwa viongozi bora kuliko kizazi chtu cha sasa. haya ni maoni yangu na wewe unaweza fikri zaidi yangu kwa kulisaidia taifa. MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI JF......
ndugu yangu jaribuni kuwa nauchungu wataifa hili jamani Sikatai Lowassa alikuwa mtendaji mzuri sana tena sana *ila Kumrudisha Lowassa kwenye madaraka makubwa ni kuliangamiza taifa.
1. lowassa atataka kulipiza kisasi kwakuwa mkuu wa nchi alimtenda vilivyo
2. Lowassa hata kubali demokrasia itawale atawaminya wapinzani na nchi itawaka moto
3.Lowassa hata weza kuliinua taifa kiuchumi
Lowassa akichukua fomu nitampigia kampeni la nguvu.
Kwangu mimi Lowasa ni kama shetani mbele za Mungu, hastahili msamaha hata kidogo, yaani kila ninapoona mgao wa umeme nazidi kumchukia huyu fisadi nyangumi Lowasa.Ole wenu nyie mnaompigia debe Lowasa kwa urais wa 2015.ALAANIWE LOWASA, ILAANIWE CCM NA WALAANIWE WOOOOOOOOOOOOOOOOOOTE WANAOMPIGIA DEBE HUYU MWIZI.
Kwa hiyo unataka wachangiaji wenye mtazamo kama wako tu ndio wachangie.YAP. naamini mimi kila niliwazalo linafaa kwa wakati wangu kama unaona halifai piga kimya
Kwani wewe ni familia ya kikwete.Wewe ni familia yake so hakuna cha ajabu