wana kazi kubwa sana
Natumia sanduki langu la post tangu mwaka 2014 kuagiza electronics kutoka mtandaoni ambazo hazipo hapa nchini, nanunua bidhaa mtandaoni ambayo ipo marekani au ulaya, inafika posta baada ya wiki mbili.
Posta ina msaada, ila kama ni mambo ya kutumiana batua haya yalishapitwaga