Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,876
- 38,820
Jamaa anasema yeye hatamwambia kitu,muda ukifika atajionea yeye mwenyewe halafu aone atafanya nini.Tena inapaswa apate taarifa na asipewe nafasi ya kuhoji. Ni upumbavu kupangiwa na mke idadi ya watoto ilihali hana matatizo ya kiafya.