Kama wewe ni mfuatiliaji wa trend ya muziki hapa nchini utagundu hivi karibuni heshima ya diamond kimuziki imeshuka sana ila kinachoweka juu ni tetesi na magazeti na ni habari zisizohusiana na muziki,
badala yake huu uzembe unawapa nafasi vijana kama Wiista ( https://www.youtube.com/watch?v=JTzhUrRuKHo ) Yamoyo Band ( https://www.youtube.com/watch?v=k7uMsGcNqmA )kuja kwa kasi ya ajabu na labda braza kaka asipokaa sawa..............
uko hivi badala ya kufanya mambo yako unakaa kufuatilia mambo ya wengine huku ukifurahi kushuka kimafanikio kwao na vice versa.