Anguko la CCM ni Julai 12

Anguko la CCM ni Julai 12

Walaaniwe wote wanaoiombea CCM mabaya. Kila mwenye nia njema na nchi hii aseme AMIN.

hawa ndio wanaosema mitaani kuwa ccm ndo baba yao ndo mama yao mzee jiandae kuwa mkimbizi wa kisiasa ktk nchi mbalimbali kama ww ni kiongozi wa ccm bt kama ni mwanachama wa kawaida jiandae kwenda kunywa kahawa mtaa wa lumumba kwan office zenu zinakuwa tupu viongozi wote watakuwa wamekimbia nchi. kwa mambo waliowafanyia watanzania mm naamini akuna mwanachama kweli kweli wa ccm ila ni njaaa tu na kutaka madalaka tu nenda kenya now mtafute mwanachama wa KANU kama utampata na ndivyo itakuwa kwa ccm
 
hawa ndio wanaosema mitaani kuwa ccm ndo baba yao ndo mama yao mzee jiandae kuwa mkimbizi wa kisiasa ktk nchi mbalimbali kama ww ni kiongozi wa ccm bt kama ni mwanachama wa kawaida jiandae kwenda kunywa kahawa mtaa wa lumumba kwan office zenu zinakuwa tupu viongozi wote watakuwa wamekimbia nchi. kwa mambo waliowafanyia watanzania mm naamini akuna mwanachama kweli kweli wa ccm ila ni njaaa tu na kutaka madalaka tu nenda kenya now mtafute mwanachama wa KANU kama utampata na ndivyo itakuwa kwa ccm

Bila shaka ujumbe kaupata vyema mkuu, inashangaza eti jitu bila ht aibu linasema CCM imelilea, yaani kwa maslahi ya chama unamnyang'anya sifa mama yako? Unajua kajitoa vingapi kwa ajili yako? Shame on them
 
Sidhani km kuna anayepoteza muda kuitaja CCM kwenye maombi yake, zaidi ni CCM inajiua na sumu iliyotengeneza yenyewe

Mzee Butiku na Humphrey Polepole Jana walisema tusipigie kura CCM wakimpitisha mgombea asiye na maadili.
 
Walaaniwe wote wanaoiombea CCM mabaya. Kila mwenye nia njema na nchi hii aseme AMIN.
CCM mjilaumu wenyewe, HUWEZI; nasema ni ujinga kujaribu kumzuia striker dakika ya 90 wakati kashakupiga bao tatu.
 
Back
Top Bottom