Anguko la Bernard Kamillius Membe kisiasa limekaribia

Anguko la Bernard Kamillius Membe kisiasa limekaribia

Hivi kuna kijana anayemtaka Magufuli huku mtaani zaidi ya MATAGA? Hao MATAGA wenyewe siyo kwamba wanamtaka bali wanapigania matumbo yao angalau wapate buku 7 ya kununua Faru John.
 
Naona wana CCM wote wa hapa jamiiforum wanamlilia Membe achukue Form za urais huko huko CCM.
Sio kweli mimi CCM active simo kwenye Hilo kundi la kumlilia Membe achukue form acha uongo wewe ya CCM tuachie wenyewe

Raisi Magufuli Niko naye kwenye hli la kuchukua fomu siko na Membe
 
Hivi kuna kijana anayemtaka Magufuli huku mtaani zaidi ya MATAGA? Hao MATAGA wenyewe siyo kwamba wanamtaka bali wanapigania matumbo yao angalau wapate buku 7 ya kununua Faru John.
VIJANA wasiomtaka magufuli NI wale wasioijua vyema historia ya nchi hii....
VIJANA wasiomtaka magufuli HATA km ni wasomi bx ujue ni wale wote WASIOPENDA WAAFRIKA TUTUMIE VIPAWA VYETU KUFIKIRI....
VIJANA wasiomtaka magufuli ni wale wote wafanyao BIASHARA ya NGADA na magendo.....
VIJANA wasiomtaka magufuli ni wale wote wanaotaka maisha ya HARAKA na SHORTCUTS.....
VIJANA wasiomtaka magufuli ni wale waliberali wanaotaka tuwe na sheria za kuwalinda LGBT ndani ya katiba..
VIJANA wasiomtaka magufuli ni yale MAGENGE yenye mwelekeo wa ukupe km ule wa;
1.IPTL-ESCROW
2.Kagoda
3.Deep green
4.Meremeta
5.Tangold etc

NI WALE MAKUWADI WALIOSEMA eti MRADI wa mwalimu Nyerere utaharibu MAZINGIRA....
It's high time now to think exquisitely for the benefit of your nation jama
 
Kwa tume huru kabisa!membe atamzidi jiwe kwa kura!tena mbali sana!!!japo lisu ndio Baba lao!!!!
Tume hyohyo NDIYO iliyompa nafasi pale foreign affairs ikawa kla uchao anapanda ndege KWENDA kutuwakilisha kidiplomasia...
 
VIJANA wasiomtaka magufuli NI wale wasioijua vyema historia ya nchi hii....
VIJANA wasiomtaka magufuli HATA km ni wasomi bx ujue ni wale wote WASIOPENDA WAAFRIKA TUTUMIE VIPAWA VYETU KUFIKIRI....
VIJANA wasiomtaka magufuli ni wale wote wafanyao BIASHARA ya NGADA na magendo...

Njaa mbaya sana yaani povu lote hili kwa sababu ya buku 7.
 
Hii nchi yetu kila tukikaribia uchaguzi mkuu kuna majina huzuka ghafla halafu hupata support isiyotegemewa kujaribu kuuaminisha umma hao watu wana sifa za kuwa "Rais" wa nchi yetu.

Bahati ya Membe this time jina lake ndio linasikika lakini kusema ukweli hana uungwaji mkono wa wengi kama tunavyoaminishwa, ana jina tu linalofahamika kwenye siasa zetu, na vyeo alivyowahi kushikilia, lakini kama anakosa uungwaji mkono wa wengi...
Ana pesa ya Qaddafi
 
azi kuwa BM hana hata sera moja inayomuuza na hivyo kuwafanya Watanzania wamwamini na kumchagua kama Rais
Huyu wa sasa ana sera gani inayomuuza? Si ngekewa ilimpitia tu baada ya mvutano kati ya Lowasa na Membe? Ikaonekana tukose wote.
 
Hii picha ya BM mbona kama ishaisha?

labda atoke karata ya Joker..abadili mchezo
 
Kilichotokea Malawi ni faraja, kiu ya maamuzi yenye tija, ama haja ya dhati ya utubutu wa kuhitaji mabadiliko ya kweli ya kimfumo na kitaasisi ktk kutaka kuiendesha kwa ufanisi ofisi ya kiimla ya Rais.
 
Kilichotokea Malawi ni faraja, kiu ya maamuzi yenye tija, ama haja ya dhati ya utubutu wa kuhitaji mabadiliko ya kweli ya kimfumo na kitaasisi ktk kutaka kuiendesha kwa ufanisi ofisi ya kiimla ya Rais.
Yaani unaifananisha Malawi na Tanzania?!!!

Hebu muangalie TU baba wao wa taifa marehemu Harsting Kamuzu Banda. Kweli unaweza kumfananisha na mwalimu Nyerere?!!!!
Yaani KIMTAZAMO YAANI SHIME YA WAAFRIKA KUJIKOMBOA KIFIKRA,kweli bado unawafananisha?! Utakuwa hujamsoma marehemu Kamuzu Banda wee.

Malawi HAWANA TOFAUTI na Zambia na pia KENYA kwani wote WANAPAMBANA na UBEPARI wa kizungu ulioota mizizi toka ENZI.

Kinachonichekesha na kukishangaa NI KILE KIWANGO Chao Cha kunywa FARU JOHN km Yule mwenyekiti Koko....
Wamalawi wanakunywa jamani we acha tu.

HAWASHANGAZI
 
Kilichotokea Malawi ni faraja, kiu ya maamuzi yenye tija, ama haja ya dhati ya utubutu wa kuhitaji mabadiliko ya kweli ya kimfumo na kitaasisi ktk kutaka kuiendesha kwa ufanisi ofisi ya kiimla ya Rais.

Dude, we Tanzanians are far better than them
 
CCM acheni kulialia na kuweweseka , Jasus mbombezi atagombea urais october 2020, Jiandaeni kupambana naye kwa hoja juu ya

1. Utawala wa sheria na haki za wananchi
2. Maslahi ya Wafanyakazi
3.Udini na ukabila katika serikali ya awamu hii
4. Maslahi ya wakulima
5. Ajira kwa vijanao zilizoota mbawa
6. Kupungua kwa exports
7.Diplomasia iliyofeli
8. Kupotea kwa wananchi na michezo ya wasiojulikana
9. Den la Taifa linalozidi kupaa.
10. Miradi isiyo na Tija kama kujenga madaraja baharini
11. Trilion 1.5 ziko wapi?
12. Kauli zisiso za staha na za udhalilishaji wanawake
13. Kusamehe wabakaji lakini ukaendelea kusotesha Masheikh Jela
14. Madai ya wakulima wa korosho na kuvurugwa kwa zao la korosho nchini
15. Kuharibu bunge na kutunga sheria za kupora haki za wananchi kila kukicha, na kupora mamlaka ya bunge kwenye masuala ya kuidhinisha matumizi ya fedha
16. Kudharau katiba mpya wakati ni hitajio la wananchi
17. Ukaguzi wa manunuzi ya Ndege na Ujenzi wa uwanja wa ndege Chato
18. Kuvunjia wananchi nyumba zao wakati mahakama imeweka zuio
19. Kuifuta na kuiondoa kabisa sheria ya KIKOKOTOWO ambayo Utawala huu haujaifuta bali umeiweka pending makusudi kupisha uchaguzi huu wa mwaka 2020 upite
20. Maslahi ya wazee wetu wastaafu ambao mafao yao wanapigwa kalenda tu daily na wengine hawajalipwa miaka kadhaa sasa

Hayo ni baadhi ya mambo ambayo Bernard Membe ataenda kuyasimamia na kuyatatua, madhila hayo yote yameletwa na utawala huu wa JPM
 
CCM acheni kulialia na kuweweseka , Jasus mbombezi atagombea urais october 2020, Jiandaeni kupambana naye kwa hoja juu ya

1. Utawala wa sheria na haki za wananchi
2. Maslahi ya Wafanyakazi
3.Udini na ukabila katika serikali ya awamu hii
4. Maslahi ya wakulima
5. Ajira kwa vijanao zilizoota mbawa...
Mbona huyo bwana Ana double standards?!!!

Maana kipindi kile akiwa anapanda Sana ndege "za kukodishwa na serikali" kutwa alikuwa angani kuelekea UGHAIBUNI,nafasi hyo ilitokea pale RAIS HALALI ALIPOCHAGULIWA NA AKAAPA KWA KATIBA HIIHII HALALI....

HALI IKOJE LEO

Baada ya kupuuza maonyo yote ya kumtaka kubadilika na aache utovu wa NIDHAMU dhidi ya chama toka mwaka ule wa 2014......
Mh.huyu ANASIMAMIA ANACHOAMINI sasa pale chama kilipomfukuza na kusimamia KATIBA YAKE tunaoiamini na kuifuata wanachama wote,akabadili maneno yake....
ANASEMAJE?
Anasema nchi HAINA TUME HURU YA UCHAGUZI 😂😂😂

Hivi kweli wewe UNAMUELEWA?!!!
Hebu kunywa supu uondoe kichwani HANGOVER ya Yule faru John hatimiliki ya "mh.mwenyekiti" na UTAFAKARI TENA NA TENA.....
 
CCM acheni kulialia na kuweweseka , Jasus mbombezi atagombea urais october 2020, Jiandaeni kupambana naye kwa hoja juu ya

1. Utawala wa sheria na haki za wananchi
2. Maslahi ya Wafanyakazi
3.Udini na ukabila katika serikali ya awamu hii
4. Maslahi ya wakulima
5. Ajira kwa vijanao zilizoota mbawa...
Halafu mbona mh.membe ni mwanadiplomasia mbobezi,hivi kweli anashindwaje kumwelewa Kanali Ngemera Lubinga pale alipomwambia AKITAKA TENA KUWA MWANACHAMA WA CCM AOMBE UPYA UANACHAMA!!

CCM ya zamani imeshakufa.
CCM mpya Ina kauli mbiu ifuatayo;

JITAMBUE BADILIKA ACHA MAZOWEA.

Twendeni na magufuli 2020.
 
Back
Top Bottom