Anguko la Bernard Kamillius Membe kisiasa limekaribia

Anguko la Bernard Kamillius Membe kisiasa limekaribia

Halafu mbona mh.membe ni mwanadiplomasia mbobezi,hivi kweli anashindwaje kumwelewa Kanali Ngemera Lubinga pale alipomwambia AKITAKA TENA KUWA MWANACHAMA WA CCM AOMBE UPYA UANACHAMA!!

CCM ya zamani imeshakufa...

Inampa shida sana kuona muda wa kuchukua na kurejesha fomu ndani ya CCM ukiyoyoma, wakati hakuna hata dalili za kuombwa radhi kama alivyoweka masharti yake.
 
Inampa shida sana kuona muda wa kuchukua na kurejesha fomu ndani ya CCM ukiyoyoma, wakati hakuna hata dalili za kuombwa radhi kama alivyoweka masharti yake.
Nani amuombe radhi?!!!
Nini "MZUNGU" huyo...alikuwa mwamba wa kaskazini mh.Lowassa na miguvu yake yote ile ya robo tatu ya waNEC na bado karejea nyumbani KICHWA CHINI na maneno machache;
1.Assalaam aleikum
2.Tumsifu Yesu Kristo
3.Nimerejea nyumbani
4.Msiniulize kwa nini.
 
MWANA WA PEKEE nakusalimu, natumaini unaendelea vema na familia yako ipo salama.

Aksante kwa bandiko/post yako, nimeisoma vizuri.

Nilichokiona kwenye post yako ni "WOGA" "FEA" fea of unknown.

Hamna kitu vibaya kama hofu, na hili hata katika CORONA limeonekana vema wengi waliopaswa kuishi na CORONA huku wakitibiwa WALIKUFA kwa hofu.

Hofu hiyo hiyo yako wewe ya kumuogopa Membe.

Kama Membe atahama au la lisikutishe Mwachie. Kupitia post yako ,UMEWAAMBIA WATU JAMBO AMBALO USINGETAKA WATU WALIJUE BILA WEWE MWENYEWE KUJUA.

Jambo hilo ni woga,hofu ya Benard Membe kugombea urais wa Tz regardless political party in which will use.
Wewe

Wewe ni kiwakilishi cha kundi kubwa lenye hofu ya kumuogopa membe, ndo maana umekuja na bandiko la kumpondea na ili sijui avunjike moyo??

Hakika Membe angalikuwa Mtu wa kawaida USINHECHUKUA TIME KUANDIKA ungempuuza tu kama ambavyo huna time kumjadili LIPIMBA wa CUF ilojifia ,huna Muda na MREMA wa TLP! Kwanini? JIBU NI KWAMBA WAO WAO SIO HABARI TENA.

Habari ni BENARD MEMBE. "Ssisi tunayo haki ya kugombea, sisi sio wahalifu,sisi hatujamkosea Mtu, sisi sio waoha...."

👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊
 
CCM acheni kulialia na kuweweseka , Jasus mbombezi atagombea urais october 2020, Jiandaeni kupambana naye kwa hoja juu ya

1. Utawala wa sheria na haki za wananchi
2. Maslahi ya Wafanyakazi
3.Udini na ukabila katika serikali ya awamu hii
4. Maslahi ya wakulima
5. Ajira kwa vijanao zilizoota mbawa..
Aksante sana missile of the Nation.

Hiyo ni kweli kweli tupu
 
CCM acheni kulialia na kuweweseka , Jasus mbombezi atagombea urais october 2020, Jiandaeni kupambana naye kwa hoja juu ya

1. Utawala wa sheria na haki za wananchi
2. Maslahi ya Wafanyakazi
3.Udini na ukabila katika serikali ya awamu hii
4. Maslahi ya wakulima
5. Ajira kwa vijanao zilizoota mbawa...

Ndo tatizo la watoto wasiojua nchi imetoka wapi, iko wapi, na wapi inakwenda.
 
HALI IKOJE LEO

Baada ya kupuuza maonyo yote ya kumtaka kubadilika na aache utovu wa NIDHAMU dhidi ya chama toka mwaka ule wa 2014......

Ninachojiuliza cha msingi na ni nyepesi tu, vitu vipi alichokitenda kuanzia mwaka ule wa 2014 ambacho kilimkosesha nidhamu kiasi hicho na lisichukuliwe hatua ya uzito uliochukuliwa kwa sasa baada ya karibia miaka sita??

Cheza na siasa wewe...

Hakuna msafi mia kwa mia duniani, and we are all waiting in our different religions for our saviours... !!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachojiuliza cha msingi na ni nyepesi tu, vitu vipi alichokitenda kuanzia mwaka ule wa 2014 ambacho kilimkosesha nidhamu kiasi hicho na lisichukuliwe hatua ya uzito uliochukuliwa kwa sasa baada ya karibia miaka sita?...
Sawa kabisa,
Tatizo ameonekana SUGU....yaani hataki kubadilika. 2014 mh. Membe,Lowassa na Ngeleja walionywa WAACHE KAMPENI MAPEMA,hawakusikia.....

Mwaka huohuo wakaitwa na kamati ya maadili. Walipojieleza WAKAONYWA tena.

Miongoni mwa Mambo waliyokuwa wanayafanya ni pamoja na KUSIMIKA makundi HASIMU km Yale aliyojitapa mh.Membe na WATU WAKE SITA

MIAKA SITA BAADAE ANAYARUDIA YALEYALE.

Chama ni IMANI
Chama ni KUHESHIMU TARATIBU SHERIA na hata "Mila zetu"

Tafakari kitunduizi
 
Sawa kabisa,
Tatizo ameonekana SUGU....yaani hataki kubadilika....
2014 mh.Membe,Lowassa na Ngeleja walionywa WAACHE KAMPENI MAPEMA,hawakusikia...
Asante sana.. angalau nimepata ufafanuzi kidogo... sikuwa nafuatilia mambo ya siasa sana, ila ninahaki ya kuchelewa pia.

Kwa kweli, Raisi wetu amenifanya nianze kufuatilia siasa kwa karibu kuliko wakati wowote ile kwa sababu maendeleo yoyote unaoonekana na macho lazima yavutie...

Hata kama baadhi yake yawe mawazo ya wengine (inavyosadikika kwamba Chadema walikuwa wameyaongelea mengi bungeni, au Marais waliyotangulia walisharatibu miradi na mapendekezo mengine lakini hayakutekelzwa, kama kuhamia Dodoma ambaye tunamongelea Raisi wa kwanza kabisa na muasisi wa Taifa letu, na mengine mengi) na pia miradi mengi ambayo ni mapya kabisa (kama vile elimu bure).... au zitakuwa mapya kabisa yatakayokuja miaka mitano zinazofuata (kwa sababu kuna kila dalili za Raisi wetu kupita bila shida)... inanibidi nipate shauku kufuatilia siasa kwa karibu na kujihakikishia ninaelewa kwa nini nampenda mwanasiasa fulani, na kwa kiasi gani... au la..

Thank you...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM ndio inaafika mwisho, Membe ataendelea kuwepo na ana nafasi kubwa zaidi pindi udikteta ndani ya chama utakapoondolewa.
 
You made my AFTERNOON....Karibu Sana komredi,kikubwa ni mtu kujua TUMETOKA WAPI,TUKO WAPI NA IPI DIRA YETU....ukiyajua vyema hayo basi inakuwa ni rahisi kujibu hoja ya mwenye fikra yeyote,iwe Lissu Mbowe ama John Mrema.
Karibu Sana upenuni mwetu,VIJANA wa CCM hatuongei kibubusa Wala hatushikiwi bongo.
Bravoo hureeee
Asante sana.. angalau nimepata ufafanuzi kidogo... sikuwa nafuatilia mambo ya siasa sana, ila ninahaki ya kuchelewa pia...

Kwa kweli, Raisi wetu amenifanya nianze kufuatilia siasa kwa karibu kuliko wakati wowote ile kwa sababu maendeleo yoyote unaoonekana na macho lazima yavutie...
 
Lumumba mnamuogopa Membe zaidi ya Trump. Hivi Membe kaifanyia nini CCM?

Nyie ndio mnaompa umaarufu Membe kwani kila mwana CCM si tu anamfahamu Membe bali hamkosi kumtaja na kumuota usiku takriban mara mbili kwa wiki. Nanyi ndio wanapenzi wake kiukweli. Najua mtaenda aendako hili halina ubishi. By the way walima korosho wote wapo naye.

Mwisho: Ukishangaa ya Maalim Seif/Lipumba-CUF utastaajabu ya Membe na CCM. Si ajabu yaklatokea hayo, leo Lipumba haamini, alijaribu kwenda Pembe kwa msaada wa mkuu wa Wilaya akapata wanachama wa CCM waliovalia sare za CUF.
 
CCM ndio inaafika mwisho, Membe ataendelea kuwepo na ana nafasi kubwa zaidi pindi udikteta ndani ya chama utakapoondolewa.
fazili buanaaa ndo Mana Yule mwanajf MWENZETU akasema huna fadhili....
Bado TU unaambaa na mh.Membe
HABAI JA LELOOOOO?

Membe kwisha kabisa...zile Tambo zake mfu za kuwa ANA WENZAKE SITA...Wala hazitofufuka.

Ushauri wa BURE kwake....
AOMBE msamaha,AOMBE kurudi CHAMANI,tutembee nae kwenye kampeni 2020 inshallah.

LOWASSA kajitambua
SUMAYE kajitambua
LIJUALIKALI kajitambua.

Mh.Membe wewe NI msomi na mwenye kaliba kubwa kidiplomasia ACHANA ACHANA ACHANA na kina Lazaro Nyalandu.....

RUDI NYUMBANI CAMILLIUS,MBONA LOWASSA NA MAKANDOKANDO YAKE YOTEEEEE tupo naye?!!!!

Think thrice
 
fazili buanaaa ndo Mana Yule mwanajf MWENZETU akasema huna fadhili....
Bado TU unaambaa na mh.Membe
HABAI JA LELOOOOO?

Membe kwisha kabisa...zile Tambo zake mfu za kuwa ANA WENZAKE SITA...Wala hazitofufuka.

Ushauri wa BURE kwake....
AOMBE msamaha,AOMBE kurudi CHAMANI,tutembee nae kwenye kampeni 2020 inshallah.

LOWASSA kajitambua
SUMAYE kajitambua
LIJUALIKALI kajitambua.

Mh.Membe wewe NI msomi na mwenye kaliba kubwa kidiplomasia ACHANA ACHANA ACHANA na kina Lazaro Nyalandu.....

RUDI NYUMBANI CAMILLIUS,MBONA LOWASSA NA MAKANDOKANDO YAKE YOTEEEEE tupo naye?!!!!

Think thrice

Kwa kweli
 
Hivi Leo 28/07/2020 ameshiriki kutoa Heshima kwa Uncle Ben Mkapa au amewakwepa na atatokea Lupaso
 
Hivi karibuni BM akiongea na wananchi wachache wa Mkoa wa Lindi, ambao taarifa zilizopo ni kuwa ulitumika ushawishi wa fedha kuwakusanya; alisikika akikitaka Chama cha Mapinduzi kumsafisha kwa kile alichodai kuchafuliwa ili aweze kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya CCM kupeperusha bendera yake katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu. BM alitishia kwamba iwapo hatasafishwa basi atafanya maamuzi mengine, ambayo wachambuzi wa siasa wanatafsiri kauli yake hiyo kuwa inaashiria kuwa atahama CCM na kwenda katika moja ya vyama vya upinzani.

BM aliwahoji watu hao akisema, “Uchaguzi ni mwezi wa ngapi?” akajibiwa, “Wa kumi”. Akauliza tena, “Huu ni mwezi wa ngapi?” akajibiwa “Wa sita”. Akamalizia kwa kusema, “Chochote kinaweza kutokea hapa katikati”.

Ninachokiona hapa ni kuwa BM anajua wazi kuwa viongozi wa CCM hawatanasa katika mtego wake wa kutaka kusafishwa, kwani makosa aliyoyafanya ni dhahiri kabisa. Kwa sababu hiyo alitumia wasaa huo kuutangazia umma kuwa anahamia upinzani. Chama gani? Hakutaja. Ijapokuwa mtu ukiongeza za kwako tu utajua ni chama kipi, kwani mtaji wa chama ni Wanachama. CDM hawawezi kuingia tena kwenye mchezo wa “Kubadili gia angani” kama walivyofanya 2015 na sasa wana watia nia wengi tu. Kwa kuwa vyama vinavyofuatia kwa kuwa na washabiki wengi baada ya CDM ni CUF (Lipumba ametangaza nia), then ACT-Wazalendo (Hawana mgombea hadi sasa) basi anaweza hamia kwenye kimojawapo.

NINI KITATOKEA? Kuna wanaosema BM atahama na wafuasi wake kwenda huko aendako na kutoa political mileage kwa chama hicho. But ukweli ni kuwa BM hana wafuasi wengi kama ambavyo wengine wanadhani, bali ni mdomo wake tu na kujifanya kuwa ni mtu muhimu sana ndani ya chama na serikali ambapo kimsingi zama zake zilishapita kitambo. Isitoshe, hakuna watu watakaotaka ku-risk nafasi zao kisiasa wakijua wazi kuwa BM hana hata sera moja inayomuuza na hivyo kuwafanya Watanzania wamwamini na kumchagua kama Rais. Kimsingi hata kama bado hawajaingia ulingoni, BM ashapigwa “KO” na Magu kwani maendeleo aliyoyafanya Rais huyu ni unprecedented.

Mvuto aliokuwa nao Edo 2015 hauwezi kufananishwa hata chembe na BM kwa sasa ambaye kwa wakati huo Watanzania walimkataa katakata. Hata hivyo mbali na mvuto huo wa Edo, alishangaa kuona kuwa amehama almost peke yake licha ya kuwa na matumaini makubwa kuwa kuna wimbi kubwa la wana CCM lingemfuata.

BM ndo atakufa mchana kweupe kabisa na huwenda asifuatwe hata na mtu mmoja, labda acheze filamu kwa kuwanunua watu kama ambavyo ameshaanza kuwalaghai Watanzania kuwa eti “mioyo ya vijana inachemka” kote nchini. Kuna wakati unajiuliza, ni vijana wa wapi hao ambao wanamtaka BM, maana kila unayeongea naye hataki hata kusikia jina la mtu huyo. Baada ya uchaguzi Mkuu atarudi CCM na huo ndo utakuwa mwisho wa BM kisiasa, as kaburi lake la siasa litafukiwa rasmi.


Tayariiiiiiii😇😇😇😇😇
 
Back
Top Bottom