Huzuni yatanda mtaani,chadema ikipigwa uchaguzi...enyi akina timu lowassa mtaziweka wapi sura zenu....najua wengi wenu mmeahidiwa madaraka...ila kifuatacho ni kushuhudia Chadema ikisambaratika...wengi wenu hamtavumilia kwenye ujenzi wa chama na lowasa wenu........