Anguko kuu la CHADEMA Oktoba 2015

Anguko kuu la CHADEMA Oktoba 2015

ICHIMU

Member
Joined
Jul 25, 2015
Posts
58
Reaction score
12
Huzuni yatanda mtaani,chadema ikipigwa uchaguzi...enyi akina timu lowassa mtaziweka wapi sura zenu....najua wengi wenu mmeahidiwa madaraka...ila kifuatacho ni kushuhudia Chadema ikisambaratika...wengi wenu hamtavumilia kwenye ujenzi wa chama na lowasa wenu........
 
Na ukweli kwamba watashndwa tu.Eti wanashangilia umatı wa Mwanza??Wanadhani watu wa Kanda ya ziwa nı mburula kufanıkısha dili za Mtei et al.Ukweli ni kwamba Ukawa kupitia Chadema wana ajenda ovu na watu wa kabila flanı ndo wanafadhili kıla jambo ndanı ya Ukawa.e
 
Huzuni yatanda mtaani,chadema ikipigwa uchaguzi...enyi akina timu lowassa mtaziweka wapi sura zenu....najua wengi wenu mmeahidiwa madaraka...ila kifuatacho ni kushuhudia Chadema ikisambaratika...wengi wenu hamtavumilia kwenye ujenzi wa chama na lowasa wenu........


Wewe ndio peke yako uliyesalia kuandika hoja mfilisi kama hizi.

Fahamu mambo ya kitaalamu kwenye uchaguzi kuwa 2/3 ya ccm bungeni haipo tena,na hakuna hoja itakayoungwa mkono na wapigakura kwani ccm ni chama kilichoziba maskio.

Pia fahamu kuwa chadema ishinde,isishinde itakuwa bonge la chama nchi hii ambapo ccm itapata shida kutawala"
 
Sishangai kama mtoa mada ulizaliwa miaka ya 1950 unahaki na ccm yako ila kama umezaliwa miaka ya 1970'-1980 hicho sio size yako
 
Tunapo sema wengi wa watanzania ni vilaza huwa tunamanisha.wewe badala uombe upinzani uwe imara kuwe na ufanisi wa kazi na matumizi mazuri ya fedha za umma.hivi kwa akili zako za maji ya maboga isingekuwa upinzani hzo skendo za rushwa serekalini ungezijua.
CCM WATATAFUNA MPAKA UZAO WAKO
 
The Bad NEWS is...!

Hatutakubali CCM wajitangaze washindi, ilhali kila dalili inaonyesha nani anayeungwa Mkono na wananchi walio wengi!

CCM mtatueleza hizo kura za ushindi mmezitoa wapi!!!? Mwaka huu lazima pachimbike!!!
 
Mara goli la mkono! Mara mwatafuta vitambulisho vya wapiga kura! Mara UKAWA watapingwa kwenye uchaguzi! Mbona kuweweseka kwingi kiasi hicho?

Mlishaambiwa kwamba, ikitokea mpambano ukafanyika kwenye uwanja sawa, CCM hafiki hata saa mbili asubuhi ni chali mtindo mmoja.
 
The Bad NEWS is...!

Hatutakubali CCM wajitangaze washindi, ilhali kila dalili inaonyesha nani anayeungwa Mkono na wananchi walio wengi!

CCM mtatueleza hizo kura za ushindi mmezitoa wapi!!!? Mwaka huu lazima pachimbike!!!
Hakuna haja ya kuelezwa Ushindi umekujaje kinachotakiwa ni Kupiga kura, kuweka waangalizi wenu wa kupiga kura na kuhesabu kura tena mhakikishe wapo sober kabisa na wanajua kusoma na kuandikaili waweze kushuhudia kinachotokea kwenye vituo vyenu vya vijijini na mijini........tusikurupuke kukataa matokeo ilhali hatujahakikisha vitambulisho vyetu vya kupiga kura
 
Tunapo sema wengi wa watanzania ni vilaza huwa tunamanisha.wewe badala uombe upinzani uwe imara kuwe na ufanisi wa kazi na matumizi mazuri ya fedha za umma.hivi kwa akili zako za maji ya maboga isingekuwa upinzani hzo skendo za rushwa serekalini ungezijua.
CCM WATATAFUNA MPAKA UZAO WAKO

We baada ya kuzijua hizo skendo za rushwa imekusaidia nini?

Na rushwa zipi unazungumzia? Maana Mamvi na rafiki zake hawapo tena kwenye list ya mafisadi.

Mbowe asikushikie akili.
 
Wewe ndio peke yako uliyesalia kuandika hoja mfilisi kama hizi.

Fahamu mambo ya kitaalamu kwenye uchaguzi kuwa 2/3 ya ccm bungeni haipo tena,na hakuna hoja itakayoungwa mkono na wapigakura kwani ccm ni chama kilichoziba maskio.

Pia fahamu kuwa chadema ishinde,isishinde itakuwa bonge la chama nchi hii ambapo ccm itapata shida kutawala"

Safi kwa kuwa umekubali akishindwa tayari!!!!
 
The Bad NEWS is...!

Hatutakubali CCM wajitangaze washindi, ilhali kila dalili inaonyesha nani anayeungwa Mkono na wananchi walio wengi!

CCM mtatueleza hizo kura za ushindi mmezitoa wapi!!!? Mwaka huu lazima pachimbike!!!


wazee wa madodoki hao
 
Tunapo sema wengi wa watanzania ni vilaza huwa tunamanisha.wewe badala uombe upinzani uwe imara kuwe na ufanisi wa kazi na matumizi mazuri ya fedha za umma.hivi kwa akili zako za maji ya maboga isingekuwa upinzani hzo skendo za rushwa serekalini ungezijua.
CCM WATATAFUNA MPAKA UZAO WAKO

Sasa skendo za rushwa zimewageukia ninyi na ndiyo maana baadhi ya viongozi wakuu wa vyama vinavyounda ukawa walipoliona hilo waliamua kujiondokea mapema ili wasilaumiwe bure. Kipindi hiki hatuna imani na ukawa. Na ni ukweli usiopingika kwamba ukawa haiaminiki ukilinganisha na kipindi cha nyuma. Na niukweli usiopingika kwamba kamwe ukawa haiwezi kupata ridhaa ya wananchi ktk kuwaongoza wananchi kwa sbb ni vigeu geu pia wanatanguliza maslahi mbele kuliko utetezi wa wananchi na ndiyo maana taswira ya kupata watetezi wa katiba ya wananchi imefifia miongon mwa wananchi kwa sbb wale waliyoikataa ndo wliopewa kipaumbele cha juu kuliko wale walioitetea.
 
Sasa skendo za rushwa zimewageukia ninyi na ndiyo maana baadhi ya viongozi wakuu wa vyama vinavyounda ukawa walipoliona hilo waliamua kujiondokea mapema ili wasilaumiwe bure. Kipindi hiki hatuna imani na ukawa. Na ni ukweli usiopingika kwamba ukawa haiaminiki ukilinganisha na kipindi cha nyuma. Na niukweli usiopingika kwamba kamwe ukawa haiwezi kupata ridhaa ya wananchi ktk kuwaongoza wananchi kwa sbb ni vigeu geu pia wanatanguliza maslahi mbele kuliko utetezi wa wananchi na ndiyo maana taswira ya kupata watetezi wa katiba ya wananchi imefifia miongon mwa wananchi kwa sbb wale waliyoikataa ndo wliopewa kipaumbele cha juu kuliko wale walioitetea.

#HapaKaziTu
 
Back
Top Bottom