gwamaka aswile
Senior Member
- Mar 26, 2015
- 186
- 106
Tarehe 26/10/2015 tutashuhudia anguko kubwa sana la vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi (ukawa) anguko hilo litasababishwa na vitu vingi lakini kubwa litasababishwa na kiburi (arrogance) arogance ya kutokukubali ushauri wa watu influential ndani ya ukawa yaani lipumba na slaa. Angusho hilo litasababishwa na kuamini sana katika nguvu ya mtu mmoja ambaye ana madhaifu karibu elfu moja.
Hili litakuwa ni anguko la karne lakini litawaathiri zaidi chadema. Ukawa wasichokijua ni kuwa kampeni zinazoendeshwa na jinius magufuli ni za kisayansi. Wanakurupuka kutumia ela nyingi kutengeneza matukio. Lakini pigo watakalopata litaathiri afya za mamia. Vyama sita kwa mara moja vitapigwa vibaya mno! Na baada ya hapo tutashuhudia chama kipya kikiibuka na kuwa na nguvu.
Tusubiri wakati!
Hili litakuwa ni anguko la karne lakini litawaathiri zaidi chadema. Ukawa wasichokijua ni kuwa kampeni zinazoendeshwa na jinius magufuli ni za kisayansi. Wanakurupuka kutumia ela nyingi kutengeneza matukio. Lakini pigo watakalopata litaathiri afya za mamia. Vyama sita kwa mara moja vitapigwa vibaya mno! Na baada ya hapo tutashuhudia chama kipya kikiibuka na kuwa na nguvu.
Tusubiri wakati!